KILIVITE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,302
- 556
Vitira shule ya Sekondari ya bweni inakutangazia nafasi ya masomo kidato cha I,II,na III.Shule ipo Malinyi/Ulanga Morogoro ina mazingira mazuri ya kusoma na walimu waliobobea katika ufundishaji,ada ni nafuu na unalipa kwa awamu.Shule imesajiliwa kwa namba S.3862.WAHI MAPEMA NAFASI NI CHACHE!0787 ama 0715 718753.