Cheap - satellite internet service

Cheap - satellite internet service

alphoncetz

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2011
Posts
280
Reaction score
50
kwa taasisi, mashirika, kampuni au watu binafsi walio maeneo ambayo hayawezi kupata huduma kupitia DSL na wireless Internet providers, sasa tunatoa huduma ya Internet kupitia satellite na hivyo kuweza kuunganisha huduma kokote uliko.

Gharama zetu ni nafuu sana kulinganisha na satellite ISP wengine hapa Tanzania. Monthly subscription zinaanzia USD250 na hatuna kikomo cha ku download kwa mwezi

Gharama ya kununua equipment ni USD 1,200

Wasiliana nasi sasa ikiwa unahitaji huduma hii au maelezo zaidi.

0767659145, 0787659145
Email: alphonce@alphonce.net

Na kama tayari unahudumiwa na satellite ISP mwingine kwa gharama kubwa tunaweza kukuhamishia kwetu na ukaendelea kutumia equipment uliyokwishanunua
 
Nasubiri mshuke kwanza..dola 250 ni zaidi ya mshahara wa kima cha chini/
 
Back
Top Bottom