Graduate kilimo camp

Graduate kilimo camp

ligalu16

Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
94
Reaction score
21
habari wadau!!!
napenda kuwataarifu wadau wapenda maendeleo wote kuwa mimi na wenzangu(tupo7 sasa) tupo kwenye NGO iitwayo vision saccos. Sisi tupo morogoro vijijini-Dutumi village na tumepata ekari kama 500 japo tunaweza pata zaidi hata elfu 2. Kama vijana tulijipanga tuanzishe kambi ya vijana hasa graduates then tulime au tufuge(ardhi inakubali mazao yote na ufugaji pia). Ila tukapata changamoto nyingi sana hasa kwakua ni msitu mkubwa haujawahi limwa, so tunashindwa kufanikisha japo tumeandika projects nyingi sana kwa wadau ila hatupati walio tayari kutusaidia hata mkopo wa masharti nafuu. Sisi tulijitahidi kufanya baseline survey mara tatu kwa misimu tofauti tofauti ili tujipe uwanja mpana wa uwekezaji. Kwa sasa tunahitaji mtu ambaye atatusapoti mahitaji yetu machache then sisi tumpe msitu na yeye awekeze chochote kile ila asiharibu mazingira kwa muda wa miaka 35 kisheria kabisa. Ninaomba aliye tayari au swali au kujiunga kwenye camp ya kilimo na ufugaji naomba tuwasiliane fednga10@gmail.com au 0714 143040
Nawasilisha
 
serikali yetu ingekuwa inasaidia initiative kama hizi umaskini ungepungua kwa kasi ya ajabu! lakini loh wanapoteza mabilioni kwenye tume kwa kuchunguza vitu obvious!
 
nashukuru wadau wengi wamejitokeza kwa kunipigia na kuni sms, nadhan wengi nimewajibu na wameridhika kilichobaki ni kutimiza ahadi tu. Pia nashukuru tumepata maprofesa wa SUA ambao wameonyesha nia ya kutusaidia hasa ushauri na utaalamu wa kilimo na ufugaji. Asanteni sana wadau, vijana tukiwezeshwa tunaweza....
 
Mmejaribu kuwafikia BRAC Tanzania? Kama bado nawashauri muwatembelee, hivi karibuni wamepokea sterling pounds za kutosha kwa ajili ya kusapoti kilimo salama. Nawaombeeeni kwa Mwenyezi Mungu mfanikiwe, kila lakheri.
 
hapana hawa BRAC bado hatujawafikia bado naomba information zao kama unazo na mimi nawagoogle hapa, thanks kwa ushauri ndugu
 
Nendeni pale SUA, mtafute Dr. Anna Temu (department of agricultural economics and agribusiness) atawapeni ushauri mzuri. Mtatoka tu.
 
Nendeni pale SUA, mtafute Dr. Anna Temu (department of agricultural economics and agribusiness) atawapeni ushauri mzuri. Mtatoka tu.

Asanye ndugu, nadhan kesho ndio litakua jambo la kwanza,
 
Nendeni pale SUA, mtafute Dr. Anna Temu (department of agricultural economics and agribusiness) atawapeni ushauri mzuri. Mtatoka tu.

Nafikiri hata huyu jamaa ndie wanufaika wa kupitia kwa Dr Anna Temu,hiyo mikopo nafikiri inabidi mdau uingie vizuri la sivyo inaweza ikala kwako,hii habari nimeisikia kwenye radio
 
Graduates? Tanzania?

Stupid idea! Ngoja tuone. Wazo zuri sana, ila neno graduates ndani yake ndio limewakwamisha watu wengi. Kuna tofauti ya kuandika makaratasi mkayaita proposal na utendaji kwenye field. We nenda na graduatism halafu tuone mwisho wake.

Ukiona taasisi inayumba hapa kwetu, ujue ina rundo la graduates na watendaji wachache. Nasikitika vyuo vikuu vyetu ni zero kwenye field ndio maana sitegemei jambo positive hapo.
 
Graduates? Tanzania?

Stupid idea! Ngoja tuone. Wazo zuri sana, ila neno graduates ndani yake ndio limewakwamisha watu wengi. Kuna tofauti ya kuandika makaratasi mkayaita proposal na utendaji kwenye field. We nenda na graduatism halafu tuone mwisho wake.

Ukiona taasisi inayumba hapa kwetu, ujue ina rundo la graduates na watendaji wachache. Nasikitika vyuo vikuu vyetu ni zero kwenye field ndio maana sitegemei jambo positive hapo.

Sawa call it woteva ....idea but we are moving foward, hujatoa challenge ila umekatisha tamaa watu na kututisha. Kama umeona vyuo vyetu vipo hivyo wot dd u do? Ila tushapata matus zaidi ya hayo na had hapa nahis tushafanikiwa sana, nitarudi na kukupa mafanikio.
 
wakuu kwanza kabisa nawapongeza kwa hilo wazo la kishujaa badala ya kuzunguka na makaratasi (cv) mjini kutafuta kazi nina matumaini kabisa mtafanikiwa msipokata tamaa na msikubali kabisa kukatishwa tamaa na mtu yoyote yule kwa namna yoyote ile keep moving.Kutafuta msaada ni wazo zuri bt make sure mna plan b kwa mfumo wa nchi yetu inaweza kuwa ngumu kupata mkopo/msaada mi nawashauri muanze kidogokidogo kulingana na uwezo wenu wakati mnasubiri mkopo/msaada na mtakachokipata mnakirudisha kwenye mradi.All the best
 
wakuu kwanza kabisa nawapongeza kwa hilo wazo la kishujaa badala ya kuzunguka na makaratasi (cv) mjini kutafuta kazi nina matumaini kabisa mtafanikiwa msipokata tamaa na msikubali kabisa kukatishwa tamaa na mtu yoyote yule kwa namna yoyote ile keep moving.Kutafuta msaada ni wazo zuri bt make sure mna plan b kwa mfumo wa nchi yetu inaweza kuwa ngumu kupata mkopo/msaada mi nawashauri muanze kidogokidogo kulingana na uwezo wenu wakati mnasubiri mkopo/msaada na mtakachokipata mnakirudisha kwenye mradi.All the best

Asante kwa ushauri mkuu,,,nadhan tar 2/5 tunaenda rasmi kuanza kambi kwa mikono yetu na nguvu zetu wenyewe, kamwe hatutarud nyuma maana kila memba amedhamiria mno hata ww kama ungeuona msitu nadhan ungekata shaur ya kulima/kufuga...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom