mwanakongola
New Member
- May 27, 2013
- 1
- 0
Kwa mahitaji ya nyama ya bata mzinga waliotunzwa kitaalam, wenye uzito wa kuanzia Kg. 15 wasiliana nami kwa simu namba 0754 316814 au 0655 316814.
Bei inaanzia 50,000/= hadi 75,000/= kulingana na uzito. Ninapatikana Njiro Arusha na sitaweza kwa sasa kutoa huduma hiyo kwa watu wanaoishi nje ya jiji la Arusha. KARIBUNI SANA. STOCK IPO YA KUTOSHA.
Bei inaanzia 50,000/= hadi 75,000/= kulingana na uzito. Ninapatikana Njiro Arusha na sitaweza kwa sasa kutoa huduma hiyo kwa watu wanaoishi nje ya jiji la Arusha. KARIBUNI SANA. STOCK IPO YA KUTOSHA.