Nyumba inauzwa na ina hati

Nyumba inauzwa na ina hati

Disailly

Senior Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
130
Reaction score
13
nyumba inauzwa kongowe ina vyumba vitatu vya kulala na sting room danning room master room stoo jiko na ina eneo la ekari moja na limepimwa na lina hati miliki ni nyumba ya ukweli ina umeme na maji kwa mawasiliano piga simu namba 0754286329 Na 0714973871
 
nyumba inauzwa kongowe ina vyumba vitatu vya kulala na sting room danning room master room stoo jiko na ina eneo la ekari moja na limepimwa na lina hati miliki ni nyumba ya ukweli ina umeme na maji kwa mawasiliano piga simu namba 0754286329 Na 0714973871

Iko Wapi?
Inauzwa Tshs Ngapi?
 
inauzwa tsh 90 Million na ipo kongowe kibaha

Milioni 90 kongowe kibaha?? Haki ya nani!! Nina uelewa sana wa maeneo yale na bei za mashamba/viwanja/nyumba nafahamu sana!! Labda hii itakuwa ya aina yake!! weka picha na sifa nyingine za nyumba kama maji, umeme, fenced, n.k.
 
Milioni 90 kongowe kibaha?? Haki ya nani!! Nina uelewa sana wa maeneo yale na bei za mashamba/viwanja/nyumba nafahamu sana!! Labda hii itakuwa ya aina yake!! weka picha na sifa nyingine za nyumba kama maji, umeme, fenced, n.k.
sio nyumba kama unavyofikiri wewe ni nyumba ya kisasa na yenye umeme na maji garden nzuri na pia ina hati miliki
 
sio nyumba kama unavyofikiri wewe ni nyumba ya kisasa na yenye umeme na maji garden nzuri na pia ina hati miliki

Haya tumekuelewa mkuu, tunaomba uweke picha ili tuone kabla mtu hujachoma gari kuelekea huko. Biashara nzuri kwa matangazo yaliyojitosheleza. Mimi nitakuwa mmoja wa watakaoitembelea nyumba. Pia nataka kufahamu kama ipo upande upi ukitokea DSM (kushoto au kulia). Asante Mkuu.
 
Ok, nitakuja na TAMWA na afisa ardhi wa wilaya. Maana hamkawii kuwadhulumu wajane nyinyi.
 
Haya tumekuelewa mkuu, tunaomba uweke picha ili tuone kabla mtu hujachoma gari kuelekea huko. Biashara nzuri kwa matangazo yaliyojitosheleza. Mimi nitakuwa mmoja wa watakaoitembelea nyumba. Pia nataka kufahamu kama ipo upande upi ukitokea DSM (kushoto au kulia). Asante Mkuu.

ipo upande wa kulia kama unatoka dar es salaam kwenda mlandizi ina garden ya nguvu na kuhusu picha nazituma
 
ipo upande wa kulia kama unatoka dar es salaam kwenda mlandizi ina garden ya nguvu na kuhusu picha nazituma
Poa mkuu, nafikiri na fence ipo au? tuma picha fasta. Ila hujasema kama bei ni negotiable au pengine sijasoma thred nikamaliza.
 
Ok, nitakuja na TAMWA na afisa ardhi wa wilaya. Maana hamkawii kuwadhulumu wajane nyinyi.

kaka hii nyumba haina huusiana na mjane woxwote wewe njoo na mtu yoyote wa haki za binadamu hii si nyumba wa wakfu ni nyumba yangu
 
Poa mkuu, nafikiri na fence ipo au? tuma picha fasta. Ila hujasema kama bei ni negotiable au pengine sijasoma thred nikamaliza.

kuhusu fensi imezungukwa na michongoma na kuna garden ya nguvu na kuna minazi michungwa migomba na maua ya kila aina na kuhusu bei kuna maelewano usljali
 
picha nitatuma asubui tayari nimepiga zitaonyesha nyumba na garden pamoja na sehemu ndani kuonyesha taa na gpsam na sakafu yenye tiles nyumba nzima
 
Hizo ndo picha za nyumba yenyewe.
 

Attachments

  • Photo-0029.jpg
    Photo-0029.jpg
    36.3 KB · Views: 144
  • Photo-0021.jpg
    Photo-0021.jpg
    32.9 KB · Views: 183
  • Photo-0035.jpg
    Photo-0035.jpg
    30.4 KB · Views: 169
  • Photo-0039.jpg
    Photo-0039.jpg
    28.8 KB · Views: 179

Similar Discussions

Back
Top Bottom