Wakuu nina kifaa hicho kipya kabisa kutoka Uholanzi, tatizo ni kuwa hakina sehemu ya line kwa ajili ya internet ila Wireless (Wi-Fi) pekee.
Nitawezaje ku-access internet muda wote hasa...
Heshima kwa wote!!
Nahitaji nyumba ya kupanga iwe vyumba viwili vya kulala, iwe na jiko na sitting room na iwe self ndani.
Maeneo: Magomeni, Moroco ya Alhassan mwinyi, Upanga, maeneo ya victoria...
Nahtaji Mtu mwenye kuelewa uchoraji wa Nyumba, za bei gali na bei rahisi. Awe na experience ya kawaida.. Ila ajue sana Kazi..
Atume sample ; office@connectmoja.co.tz or : 0714880007
Sent...
Next Ending!
Click kwenye bidhaa usika kushiriki mnada
NEW SONY ERICSSON X10 mini BLACK 3G 5MP GPS WIFI Android SMARTPHONE
4h 16m
USED SAMSUNG GALAXY S3,S4 FOR SALE...
Kiwanja kiko mbezi msakuzi ukubwa mita 53 kwa 33. Eneo ni karibu na kwa asenga,kisabo shopping center na fm lodge. Bei ni sh. Milioni 9 tu. Hatakiwi dalali. Anayehitaji awasiliane na muuzaji...
Habari wadau wa jf,
Nina uza engine ya NISSAN Model TD27 Turbo.
Iko complete na accesories zake zote plus a new fuel pump.
Bei ni 2.5
Maelewano yapo kwa serious buyers only.
Kwa mawasiliano ni PM...
Hie
I'm looking for a company which can provide the above service(s) at affordable costs in relation to the quality of services offered!
Location:-Dar es salaam
Contact:0713473166
Needed-Urgently...
Hili tangazo ni mojawapo ya meengi yaliyopo kwenye pages za JF.
Hivi wakubwa zangu kitengo cha JF Marketing mnafanya screening ya haya matangazo kabla ya kuyaweka au mnapaste tu?
Nyumba nzima yapangishwa.
MAENEO: Temeke, Dar es salaam. Nyumba ipo mtaa wa Mashine ya Maji no5. Ni kama km 1 kutoka Mtoni Mtongani. Mtaa upo kati ya Buza na Mtongani.
MAUMBILE: Nyumba ina...
Inauzwa kwa bei ya 380,000/= maana kuna emergency imetokea,mlango wa maelewano uko wazi pia.
Nipo Salasala -Dar es salaam.
HAINA FLASH ilipotea.Kwa maelezo zaidi 0763364005.
Hizo picha...
Kama wewe ni mfanyabiashara na unahtaji kuboresha biashara yako kupitia mkopo(loan) lakin huna dhamana ya mkopo(security).Nitafute nikuwezeshe kupata Title kwa ajili ya mkopo,ushaur pia utatolewa...
Poleni na majukumu wana Jf, kitambo sasa nasaka huduma ya kutambua mtu ninayeongea naye kwenye cm mahali alipo. Je huduma hii hapa Tanzanzania ipo? Na kama ipo inatolewa na nani! Tadhali naomba...
viambatanisho:headphone,usb,charger
anayehitaji antafute ktk namba hapo juu..sina mautundu ya kuweka picha ila ukidownload utaiona,bei Tsh95,000/=
Karibuni
WADAU NAHITAJI CHUMBA NA SEBULE KWA AJILI YA KUPANGA
MAENEO KINONDONI, KUANZIA VICTORIA SAYANSI,MOROCO BLOCK 41 KANISANI, A, B, MWANANYAMALA (isiwe bondeni)
UWEZO KODI 50,000 KWA CHUMBA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.