Je, unataka ardhi ya kununua wilayani Kibaha?

Je, unataka ardhi ya kununua wilayani Kibaha?

ngogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
359
Reaction score
54
Kwa mahitaji ya kununua ardhi yenye ukubwa tofautitofauti mpaka hekari 200, yaani mashamba na hata viwanja tafadhari wasiliana nami kwa simu nambari 0717000990 au 0764434673 au 0689232523. mashamba yote yanafikika kirahisi kwa gari
 
Safi sana mkuu...mie natafuta shamba kama heka 12 mpaka 20 hivi maeneo ya mlandizi kurudi nyuma kama unakuja dar es salaama vigezo liwe na maji ya kutosha, umeme na karibu na barabara ila sio lazima liwe na rutuba maana ni kwa ajili ya ufugaji.

Naomba bei zako na maeneo nayoweza kupata mashamba yenye sifa hizo tajwa hapo juu
 
ndio, tupe range ya bei mkuu

kuhusu bei inalingana na eneo, kwa mfano kuna maeneo mawili umeme upo na maji yapo, kati ya hayo moja lina heka 45 umeme upo na limepakana na mto Ruvu na lingine lina heka 225 umeme na maji ya bomba yapo, kazi kwako mkuu
 
mkuu ungetoa na location kibaha kubwa sana eti.
 
Back
Top Bottom