You are born for some unique purpose, some noble objective that will allow you to manifest your higher human potential while we at the same time add value to the lives around You. You need to...
This auction is ending today via mnada.co.tz Click here to place Your Bid
Item category: All > Mobile Phones & PDAs > Blackberry
Send to a friend
Send question to seller
Add to...
Hapo chini ni sample ya kazi ambazo tumefanya,tunadeal na design za nje ya nyumba(primary architectural services)ndani ya nyumba(interior design) na nje ya nyumba landscape design.Tunapatikana Dar...
Tunachora ramani za nyumba za aina tofauti tofauti(primaryarchitectural services),pia tunadesign ndani ya nyumba ambazo zilisha jengwatayari,maduka,migahawa,vibanda vya simu n.k(hii ni kwa upande...
Wapendwa ni sehemu gani zinuzwa Stylus ambazo naweza kutumia kwenye Samsung Galaxy tablet,kwa anayejua naomba aniambie duka ikiwezekana na bei yake.Angalizo nahitaji ya dukani na si kwa mtu...
Wapendwa wana bodi,
heshima kubwa sana kwenu,
nimeweka hili tangazo hapa, naamini wale wanaohitaji hii kitu tatizo lao limetatulika.
karibuni sana.
KUKU MBEGU BORA
Vifaranga
kuku wa kienyeji...
Habari wakuu naomba mtu yeyote anayeuza laini ya uwakala wa tigo pesa anitafute kupitia
0715304808.Natanguliza shukrani.JAMANI MWENYE HIYO LAINI YA UWAKALA TUWASILIANE
Salute Wanabodi!
Nina uza Viwanja 2 vilivyopo jiji Mwanza maeneo ya Nyegezi Nyamalango & Nyamazobe chini ya stendi ya mabasi Nyegezi , mmiliki na muuzaji wa hivi viwanja ni mimi mwenyewe, hivyo...
APARTMENTS zinapangishwa maeneo ya kibamba kwa mangi ni dakika kumi kutoka kituo cha dala dala.
hakuna dalali utawasiliana moja kwa moja na mwenyenyumba.
1. Vyumba viwili kimoja master,sitting...
Namtafuta Issa Kiwango tulionana zamani sana Kigoma. Mwenye contacts zake naomba ani-PM au aniandikie email kupitia geofmbelwa@gmail.com. Au akiona ujumbe huu aniandikie.
Ahsante
HAbarini wanajamii, Nauza printer aina ya Hp Photosmart B plus250kwa bei ya 150,000.
Mtu anayehitaji anipigie katika 0717 515477 au 0762 067696.
Ibrahim
Hello! Community.
You are welcome to LIKE our page safki (http://www.facebook.com/pages/Safki/476200879125993), on that liknk. We are small organization that deals with advertisement...
Habari wana GF,
Kwa wale waliopo Arusha. Nina uza kibanda cha biashara kipo Arusha pia.
Specification
1. 2M x 2M x 2.5M, kwa maana ya upana, urefu, na kimo
2. Material: bati gumu gauge 18
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.