nauza kiwanja

nauza kiwanja

Osaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
1,943
Reaction score
808
nauza kiwanja changu maeneo ya ukonga karakata hatua 17 kwa 20 milion tatu tu,maji yapo na umeme upo,kinafaa kujenga nyumba ya kupangisha au kuishi kwa sababu kipo kwenye makazi ya watu.
 
nauza kiwanja changu maeneo ya ukonga karakata hatua 17 kwa 20 milion tatu tu,maji yapo na umeme upo,kinafaa kujenga nyumba ya kupangisha au kuishi kwa sababu kipo kwenye makazi ya watu.
1. Gari inafika..??
2. Kipo kwenye mteremko au tambarare..???
3. Maji ya Dawasco au watu binafsi..??
4. Sababu zipi zinakufanya uuze..??

 
1. Gari inafika..??
2. Kipo kwenye mteremko au tambarare..???
3. Maji ya Dawasco au watu binafsi..??
4. Sababu zipi zinakufanya uuze..??


Gari linafika lakini sio hadi mlangoni, umeme upo nguzo iko jirani tu,na maji ya dawasco kipo tambarare nauza kwa sababu nataka nisafiri niende masomoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom