Nimefanya mawasiliano ndani ya JF bila mafanikio, hivi sasa nahitaji madirisha 20 hivi ya aluminum kioo one way na mosquito slides ukubwa wa dirisha ni futi 4 kwa 5 lenye partition kwa juu, kwa...
Wakuu Habari zenu?
Nimekuwa nikitafuta kitabu cha alfu Lela ulela (chapisho la kwanza kwa Kiswahili ) takriban miaka minne sasa lakini sijafanikiwa zaidi ya kupata hivi walivyo durufu kwa mara ya...
PATA perfume nzuri sana kwa mwanaume NA wanawake perfume nzuri sana. bidhaa bora toka forever living products.
0713507487
0782898210
0767507487
price 78000
Nauza TTCL rafiki top up card za Jumla ya shilingi laki Moja na Elfu Ishirini(50,000 2pcs, 10,000 2pcs) kwa shilingi laki Moja baada ya kununuliwa kimakosa badala ya Broadband zilinunuliwa za...
Jamani wanajamii naombeni ushauri nataka anza hii kazi ya home design
Ambayo ntabase katika mambo ya
Kitchen
Living room
Bedrooms
Garden
Ninauzoef mdogo wa kuona kazi za watu bt i know i can do...
Nauza simu ya samsung galaxy note 2. Imetumika kidogo, almost three months, in excellent condition. Bei tsh 790,000. Mawasiliano pm au nichek at 0717301520 or whatsapp
Habari
Karibu Legacy Impresion Company upate huduma ya Branding kwa bei
Nafuu msimu huu wa sabasaba kwa punguzo la bei
Branding ni elimu itolewayo kwa mtu, kampuni au taasisi kwa ajili ya...
Wakuu habari za leo, hope muwazima. Nilikuwa naomba kuulizia kama kuna mwenye kufahamu wapi na kwa bei gani naweza kupata tshirts nyeupe, kwaajili ya kufanya printings? Nataka kununua kwa ujumla...
EAGLE FOOD PROCESSOR. Tunakuletea. Unga safi wa sembe,dona pamoja na mahindi yaliyo kobolewaKwajili ya makande kwa bei ya jumla na rejareja.unga wetu una ubora wa phali ya juu ,ni mweupe na...
Habari zenu wa jf
Natumai muwazima wa afya.
Naombeni msaada wenu kwa mtu ambae anaju sehem au mahala naweza kupata machine ya film,
Inayoprint nailoni kama za mikate au mifuko ya plastic,iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.