Kiwanja kinauzwa kwembe

Kiwanja kinauzwa kwembe

Super Sub Steve

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
17,685
Reaction score
11,271
Members kuna kiwanja kinauzwa maeneo ya Kwembe kijijini(Mbezi mwisho kwa mbele). Ukifika makondeko unaingia kushoto.Kina ukubwa wa 28x30.
Mimi sio dalali na wala sio muuzaji wa kiwanja ila nimeamua niwajuze members humu kwa sababu mwenye kiwanja alinambia mimi kama jirani kuwa kama nakipenda nikichukue na mimi kwa sasa sina uwezo wa kukichukua kwa sababu ninaluck cash.
Kinauzwa kwa Gharama ya shs milioni nne.Offcourse ni maeneo mazuri kwa yeyote atakayekuwa tayari na kama kitaendalea kuwepo basi nitamuunganisha na mwenye kiwanja.
 
Members kuna kiwanja kinauzwa maeneo ya Kwembe kijijini(Mbezi mwisho kwa mbele). Ukifika makondeko unaingia kushoto.Kina ukubwa wa 28x30.
Mimi sio dalali na wala sio muuzaji wa kiwanja ila nimeamua niwajuze members humu kwa sababu mwenye kiwanja alinambia mimi kama jirani kuwa kama nakipenda nikichukue na mimi kwa sasa sina uwezo wa kukichukua kwa sababu ninaluck cash.
Kinauzwa kwa Gharama ya shs milioni nne.Offcourse ni maeneo mazuri kwa yeyote atakayekuwa tayari na kama kitaendalea kuwepo basi nitamuunganisha na mwenye kiwanja.

WEwe hivi si ndio vile viwanja vya magumashi vinavyotakiwa kupisha ujenzi wa stand vile au mji gani sijui angalia mjini ni sooooooooooooooooooo
 
WEwe hivi si ndio vile viwanja vya magumashi vinavyotakiwa kupisha ujenzi wa stand vile au mji gani sijui angalia mjini ni sooooooooooooooooooo

Sidhani kama ni hivyo ila kwa atakaye kuwa tayari nadhani itabdidi afanye huo uchunguzi,anyway sijajua stand itajengwa wapi ila kiwanja kilipo ni kule kwembe ambako sidhani kama hiyo stand itakuwa huko.mimi siwezi nunua bcoz nina kiwanja kingine na kwa sasa sipo ok financially.Niliwaalert tu ndo maana nikasema mi sio dalali
 
Back
Top Bottom