Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

BlackBerry curve 3G 9300 inauzwa Tsh 160,000/= .........ni used ila ipo kwenye hali nzuri na haina tatizo lolote....na ina betri moja la ziada....Kama unahitaji just ni PM
0 Reactions
2 Replies
916 Views
nnashida na line ya tigo pesa muongozo please
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KARIBU TUPO KINONDONI, TOGO STREET, TUNASHONA SUTI AINA ZOTE KWA KIWANGO BORA NA CHA JUU KABISA! KWA MAWASILIANO:- 1. Email_ manrasha@hotmail.com 2..0713251605, 0713251391,0682604363. PIA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini nyote, Natufuta Used Marine Board ili nimalizie ka ujenzi kangu. kama kuna mtu anazo tafadhari tujilishane.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Je unahusika au unaweza kusaidia kupatikana kwa machine za kisasa used na mpya(hand and motorized) katika domestic na commercial fumigation?.Tafadhali nipm au weka hadharani zinahitajika haraka...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
natafuta vitabu vya Ben R Mtobwa pamoja na LESS BROWN NAWEZA VIPATA WAPI
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shamba lina ukubwa wa hekari 12 lina minazi, michungwa, mikorosho na nyumba ya vyumba vitano ya tofari, shamba lipo Visiga maili 35, lipo mita 400 kutoka barabara ya Morogoro, bei milioni mia moja...
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, sehemu ya kulia chakula na jiko. Ina master bedroom 1, chumba kingine ni self contained, kinachobakia hakina choo na bafu. Pia kuna choo na bafu kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam wakuu... ...kuna biashara hapo juu ya simu aina ya Samsung galaxy S III,nimeitumia miezi kama miwili ivi yani ni mpya kabisa wakuu. Ina charger,skrin protekta,earphone na hata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Lg p970 iko poa kabisa nicheki kupitia 0716199297
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kwa yeyote anayeuza transcend hdd 1TB ani pm tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa alie na kiwanja anipe bei yake na mita ngapi(ukubwa) na mahali kilipo. Ni PM ndio itakua best way ya mawasiliano yetu.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Landcruiser prado imelipiwa kodi zote inapatikana upanga dar-es-salaam engine 1kz(diesel) mileage 122,000km automatic transmission Registered number BSN bei 16m maelewano yapo contact 0757 455070
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Nokia Booklet 3G Windows 7 Processor : Intel (R) (TM) CPU Z530 @ 1.60GHz. 1.60GHz {duo core } Harddisk : 100GB USB Port : 3 System type : 32 - bit Operating System Simcard slot {sehemu ya...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Wakuu nina samsung duos yangu ninauza kwa 100,000 shs Ipo katka hali nzuri. kwa mwenye nia, ani pm au text/ piga 0762193767. asanteni.
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Mahali: Ipo Yombo, TMK, DSM. Maumbile: ina vyumba vitano, sebule moja na "siting room" mbili, vyoo viwili vya sinki na chumba cha jiko. Imezungushiwa fensi na ina paking ya gari. Hudu za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau, Nauza Toyota Altezza, ambayo imetoka bandarini tarehe 01st Nov, 2012 Gari hii ni nzuri na zifuatazo ni details zake. YOM; 2001 Odometer: 65,000 km CC: 1,980 Steering: Right Transmission...
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Haya wale wadau wa michezo hususani mpira wa miguu,tunauza viatu vya kuchezea mpira wa mikuu kwa bei ya 65,000 kwa Pair,leather na sio plastic,mwenye macho haambiwi Tazama. kama unahitaji...
1 Reactions
15 Replies
18K Views
NOKIA Booklet 3G Windows 7 Processor Intel(R) (TM) CPU Z530 @ 1.60GHz 1.60GHz Harddisk : 100GB Installed memory (RAM) : 1.00GB System type : 32 - bit Operating System USB port : 3...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
NOKIA Booklet 3G Windows 7. Processor Intel (R) (TM) CPU Z530 @ 1.60GHz 1.60GHz {Duo core} Harddisk: 100GB Installed memory (RAM): 1.00GB System type: 32 - bit Operating system USB...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Back
Top Bottom