Habari wanajamii,naomba msaada wa maelezo kwa mtu anayejua.Natafuta mbegu za vitunguu hapo tanzania,jina ni kama la hapo juu yaani;Jambar f1 hybride onions.Sijui kwa lugha ya nyumbani...
Wakuu ninauza Kiwanja chenye ukubwa wa heka moja kwa sh. mil 3.8 tu. Kiko Kongowe mwisho Mbagala Km 3 kutoka Barabara ya lami na gari linafika mpaka kwenye kiwanja. Tafadhali mwenye kuhitaji ani PM.
Wadau, nauza kiwanja maeneo ya chuo cha mzumbe morogoro chenye ukubwa wa hekari moja. Kiwanja kipo karibu nachuo cha mzumbe. Eneo ni tambarale na linafaa kwa ujenzi wa hostel, cafeteria, makazi...
Nokia Lumia 620 black,8Gb, 0ne strait month used, get with all accessories + manual books & box @ 350,000
for photos send me your email or whatsapp number...
Nb: supports...
Camera Zingine zinauzwa...Kama Title inavyo Sema
Camera Zote Mbili Kwa Lak.Mbili Tuu!! Yani 2 For 2
Camera Used Ya aina Panasonic Lumix Yenye 14.1MP 5X Optical Zoom!!
Na...
Maeneo ya Ukonga Mombasa banana majumba Sita kwa mwezi 100,000 mpaka 150,000 kuwe na geti packing ya gari, yaani kiufupi furniture nikiziweka Kama Muv za Nigeria vile..plz ni pm Kama unayo..
Mimi ni mwl. wa s/msingi katika halmashauri ya wilaya mpya ya KYERWA-KAGERA natafuta mwl. wa kubadilishanae kituo cha kazi kati ya halmashauri zifuatazo Muheza, Tanga mjini, Arusha mjini...
habari wadau, najua mshaskia kuwa kuna s4 lakini sio zile original zenyewe but hii ni clone yake tena iko vile vile copy right haina tofauti except low camera quality na haina sensors, iko faster...
Camera Zingine zinauzwa...Kama Title inavyo Sema
Camera Zote Mbili Kwa Lak.Mbili Tuu!! Yani 2 For 2
Camera Used Ya aina Panasonic Lumix Yenye 14.1MP 5X Optical Zoom!!
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.