Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari wadau,naombeni msaada kama kuna uwezekano wa kupata solar charger ya mini samsung laptop na bei yako,lakini option ya pili ni kuhusu solar power system yenye uwezo wa kuchaji laptop,simu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo vp wadau, nina photocopy mashine yangu imeroga leo. haitaki kutoa copy nikiwasha inaroad theni inaleta neno 202E. nimecheki katia mtandai code error hiyo inasema, Scan not leaving home...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Mgodi wa tanzanite ulioko Mererani, wilaya ya Simanjiro - Arusha unauzwa. Una leseni na umelipiwa. uko block D. uko vizuri. Bei ni 350m. Kwa anayehitaji ani-PM au email: haiksammy@yahoo.com
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bei zetu ni nzuri na zinazingatia ubora wa bidhaa zetu The light will last around 10 hours after 5 hours of sunlight; it's a great way to light up an area without electricity. If you are...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
wakuu nina product ya samsung niliyoitaja hapo juu..mwenye kuvutiwa anicheck whatsapp 0653638824 pia tunaweza badilishana na simu nyingine ya android Samsung Galaxy Pro B7510...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
lina ukubwa wa eka 5 ni karibu na plots za wafanyakazi wa Chuo kikuu na muhimbili piga 0788622128
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale mliochoka kuamka na kukuta wezi wameruka ukuta wako na kuiba ndani mwako wakati mmelala au mmeacha nyumba haina mtu, 255 System inakuletea electrical fencing imara na za kisasa,pamoja na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Dhumuni la Uzi huu Dhumuni la kuanzisha uzi ni huu ni kuitambulisha rasmi kampuni ya Legacy na kuonyesha baadhi ya kazi Ilizokwisha zifanya kwa wateja wake, unaruhusiwa kuuliza au kutaka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inauzwa 150.
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Ndugu wana jf salaaaam.kama ilivyo ada leo nawaletea asali nzuri na bora iliyoandaliwa kitaalamu kwa usimamizi mzuri wa maafisa wa maliasili. Ni aslai ya nyuki wa kubwa kutoka kigoma bei nafuu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
We have all kind of used cars as per request we have shiping facilities to dare salam port direct from muscat oman our contact : worldcoastllc@yahoo.com...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Simu iko pouw call 0656063933 or pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nilipata taarifa ambazo hazikuwa kamilifu kuwa Wilaya ya kinondoni inatarajia kuuza Viwanja maeneo ya Mabwepande, Mwenye kujua naomba anijuze taratibu ziko vipi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa, bei ni 80000, maelewano kidogo yapo. Imetumika kidogo. 0717183929 mawasiliano yangu
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Vipo Mbezi juu karibu na Saint Mary Secondary school. kila kimoja kina ukubwa wa mita za mraba 1200. ukiwa katika viwanja hivyo unaitazama bahari. Bei 70mil. Maelewano yapo. Kwa maelezo ya ziada...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu kuna acre 3 nimekabidhiwa mbezi beach kwa wanaojenga apartment au hospital au kumbi za sherehe au parking. kwa mwenye mteja anicheki 0652715232 au info@equpointproperty.co.tz
0 Reactions
0 Replies
978 Views
nyumba self and master inapangishwa maeneo ya tabata liwiti ,nyumba ipo barabarani ina geti,umeme maji na kisima cha ndani,vyumba 3 master ,jiko na vyoo vya ndani,self luku and parking za...
0 Reactions
2 Replies
816 Views
habarini wana ndugu, mimi nataka nyumba ya kupanga kuanzia januar mwakani, nimeweka taarifa mapema ili kama kuna mtu anamalizia kujenga au anajua kuna mtu anahama sehemu niweze kupata kirahisi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Natafuta TV iwe 3D au LED .. Na pia nipewe nafasi ya Kulipa kwa installments kama inawezekana. Namba: 0714880007
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom