Acha kutapeliwa sasa ( Legacy ni suruhisho)

Acha kutapeliwa sasa ( Legacy ni suruhisho)

echuma

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2010
Posts
311
Reaction score
80
  1. Dhumuni la Uzi huu
Dhumuni la kuanzisha uzi ni huu ni kuitambulisha rasmi kampuni ya Legacy na kuonyesha baadhi ya kazi
Ilizokwisha zifanya kwa wateja wake, unaruhusiwa kuuliza au kutaka ufananuzi wowote unaohusiana na
Mambo ya Printing, Graphic design na Website. Karibu

  1. Kuanzishwa kwa kampuni
Legacy Impresion company ni kampuni iliyosajiliwa kisheria,kampuni
Hii imeanzishwa mwaka 2012.kwa minajili ya kutoa huduma ya Graphic design, printing,
Steshenari na teknolojia ya tovuti ( website).


  1. Wateja wake
Tangu kuanza kwake hadi sasa Legacy imejikita zaidi katika kusaidia wanaoanzisha biashara,wajasiriamali
makampuni na NGO's.


  1. Vission na mission
Maono yetu kama kampuni ni kuwa kampuni namba moja inayoongoza kwa kutoa huduma bora,kwa
Nchi za Afrika Mashariki na kati, ili kufanikisha malengo hayo tunajitahidi kuongeza ufanisi wa kazi na
Namna ya utaratibu wa ufanyaji kazi wake.


  1. Sehemu ilikofanya kazi.
Hadi kufikia sasa legacy imeshafanikiwa kufanya kazi na wateja kutokea ndani ya Tanzania na
Mikoa tofauti tofauti kama Dar es salaam, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro,Morogoro,Shinyanga na Mwanza.



  1. Jinsi inavyofanya kazi
Ufanyaji kazi wa kampuni ya Legacy ni wa kifanisi kabisa, kila kipengele kina wataalamu wenye
Weledi wa kutosha kukidhi haja na mahitaji yako kama mteja.


  1. Promosheni
(Kipengele cha Graphic design)
Kutokana na umuhimu wa kutofautiana na wengine na kujali wateja wake pia Legacy imeanzisha
Promosheni ya Branding package ambapo mteja akibrand na Legacy ndani ya mwezi huu wa tisa atakuwa
Na ofa ya kufanyiwa kila dizaini kwa bei ya shilingi 20,000/= . Bei zetu ni za chini kulinganisha na huduma tunayotoa .

  1. Utofauti na wengine
Sasa hivi kumekuwa na wimbi la ukosefu wa ajira katika kila sehemu hivyo kila ajira imeingiliwa na mamluki wa fani, hivyo ili kujitofautisha nao ukija legacy tunakupa na semina ya kila utakacho dizaini manufaa yake na muda wa kukitoa na kuangalia nafasi, hii yote ni kukupa kilicho bora kiwe bora zaidi.


  1. Shukrani
Mwisho natoa shukrani za dhati kwa wote watakaotutafuta (Legacy) na kufanya nao kazi pia wale ambao tumekwisha kufanya kazi najua bado watakuwa wanatuhitaji kwa ajili ya kazi nyingine .pia shukrani za dhati kwa uongozi mzima wa Jamii Forum na wasomaji wake kwani imechangia kwa namna moja ama nyingine kuifikisha Leacy ilipo,pia shukrani zikufikie wewe ulieamua kufungua uzi huu na kutufahamu vizuri legacy.

Karibu LEGACY hautajuta kufanya kazi na sisi kwa sababu Legacy ndio ufunguo wa maendeleo ya biashara yako.
Pia tunafanya kazi online kwa walioko mikoani na wanaohitaji huduma hiyo.

Tunapatikana Kijitonyama, Dar es salaam Plot no 4298, block 44, Simu 0713 603 699/0767 603 699,Email: info@legacytz.com, Website: www.legacytz.com, Blog: www.legacycompany.blogspot.com.


Karibuni sana
 
Baadhi ya sample za logo

logo bach 1.jpg
 
good, ila na nyie website yenu imekaa kiwiziwizi.
 
sticker sample kutoka legacy impresion company (0713 603699)

fuwavita sunflower 2..jpg
 
Back
Top Bottom