Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

The Price is Negotiable. PM me
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Hasa wale wa retrechment ama redenders ole usikurupuke kununu gari kisa shangazi wa mjomba ana gari mtalia...kabla ya kununua gari uliza uimara wake tafuta mafundi wazuri\watakuelimisha bure ...na...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
sina budi kutoa shukrani kwa jf nilipata c5 kupitia jf,tena nikapata n8 kupitia jf. Na sasa nahitaji lumia tajwa hapo juu,mwenye nayo ani pm au ani-text ktk 0763802014. Karibuni.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
ni i phone original haijatumika sana bei laki tatu pesa inahitajika haraka. call 0714 925 525 only serious buyers
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nyumba inauzwa ipo Arusha....eneo la shangarai ina vyumba viwili vya kawaida vya kulala na master moja......jiko....dining....siting.....bafu....choo......parking space ya kutosha.....fence na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
inauwanja mkubwa tu, nyumba ni ya vyumba viwili sebule na kimoja ni master, bei ni 26 ml, maongezi yanakaribishwa contact 0712164667
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Any one selling ps3 in great condition or brand new gv me ur offers cAll or whtsapp 0784622444
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Hp Compaq desktop kwa bei chee, 3.0GHZ,1GB RAM,80GB HDD bei 245,000 monitor 17nch. 0773 944 944
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni aina ya toshiba hard disc yake ni 200GB,,pia ina web camera,kwa aliye serious tuwasiliane kwa namba - - - - - 0767-950130 ili aweze kuiona na kucheck vitu vingine kama processing speed...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Power Steering, Air Conditioner, Rear Spoiler, Alloy Wheels, Navigation, TV, Anti-Lock Brake System, Dual Air Bags, Power Windows AERO,CD For test drive come around Arusha memorial Tower soon
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nadhani heading inaeleweka. Kwa kuongezea tu ni kwamba nataka kufanya biashara hiyo ya kuprint t-shirt na kuziuza. So mnijulishe wapi ntapata plain t-shirt nzuri,na ni sh ngapi kwa bei ya...
2 Reactions
7 Replies
8K Views
Wakuu nauza kampuni zangu> moja inajishughulisha na usafi ktk maofisi na majumbani. imesajiliwa na leseni yake inaruhusu kufanya usafi kwa ujumla yaani unafanya usafi wa aina zote: inaitwa(...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
OFFER OFFER OFFER Jipatie laptops kwa bei nafuu kabisa DELL RAM 2GB HARD DISK 60GB DVD WRITTER ITS DVD ROM Bei ni 310,000 tu zimebaki pc6 ukichkua zote tunakupa kwa 290000 Pia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu Kwa yeyote mwenye nalo au ana taarifa za mahali linauzwa tafadhali anijulishe kwa PM. Sina uwezo wa kununua jipya; Nataka used au hata lililo down kabisa nikafufue. Ninachojali chassis na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MAHALI: IRINGA MJINI – MAWELEWELE (Jirani na yanapojengwa makao makuu mapya ya Mkoa) UKUBWA: METER 35 X 25 Usafiri unapatikana ni Tsh 400/= kwa daladala kutoka stendi kuu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana JF nahitaji mkopo wa haraka 2m nitalipa na riba. kama kuna mtu mwenye uzoefu au mwenye kujua wanapotoa kwa uharaka. Asante
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Txt 0656063933 orPM bado iko poa ila imetumika miezi6 tu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna kampuni kutoka uholanzi inahitaji kampuni au agent itakayokuwa inawasambazia nyama zao za ngombe nk hapa tanzania kwa anayehitaji hii deal ani contact me 0716567467 ili nim connect nao
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Modem ya airtel nauza nimeitumia lkn ukihtaj tsh20000 npo dar ubungo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni viwanja viwili ila vina hati moja ukubwa ni 15x30 ,15x30 area sqm 1000 . umeme maji vipo hapo hapo na mawe trip 12 bei ml 25 . Kwa anayehitaji PM
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom