Wapi ntapata plain t-shirt nzuri na t-shirt printers in chip price?

Wapi ntapata plain t-shirt nzuri na t-shirt printers in chip price?

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
946
Wakuu nadhani heading inaeleweka.
Kwa kuongezea tu ni kwamba nataka kufanya biashara hiyo ya kuprint t-shirt na kuziuza.
So mnijulishe wapi ntapata plain t-shirt nzuri,na ni sh ngapi kwa bei ya jumla?na wapi kuna printers wazuri?

Naomba kuwasilisha.
 
Mkuu kama ungekua Dar mtaa wa kitumbin kuna kila t.shirt plan unayo hitaji
 
nicheki 0717 022737 zinapatikana kariakoo,dar es salaam na bei zake zinaenda kama zifuatazo:
medium-6000
freesize-6500
large-7000
extra large-7500
pia zile t-shirt plane zenye kola zijulikanazo kama form 6 zinauuzwa 8500 angalizo kila rangi zinapatikana...
 
Unauza kwa reja reja pia ?

nicheki 0717 022737 zinapatikana kariakoo,dar es salaam na bei zake zinaenda kama zifuatazo:
medium-6000
freesize-6500
large-7000
extra large-7500
pia zile t-shirt plane zenye kola zijulikanazo kama form 6 zinauuzwa 8500 angalizo kila rangi zinapatikana...
 
nicheki 0717 022737 zinapatikana kariakoo,dar es salaam na bei zake zinaenda kama zifuatazo:
medium-6000
freesize-6500
large-7000
extra large-7500
pia zile t-shirt plane zenye kola zijulikanazo kama form 6 zinauuzwa 8500 angalizo kila rangi zinapatikana...
asante
 
Back
Top Bottom