Kampuni au agent wa kusambaza nyama anahitajika

Kampuni au agent wa kusambaza nyama anahitajika

doxtgblaze

Senior Member
Joined
Feb 2, 2010
Posts
115
Reaction score
5
Kuna kampuni kutoka uholanzi inahitaji kampuni au agent itakayokuwa inawasambazia nyama zao za ngombe nk hapa tanzania kwa anayehitaji hii deal ani contact me 0716567467 ili nim connect nao
 
Kuna kampuni kutoka uholanzi inahitaji kampuni au agent itakayokuwa inawasambazia nyama zao za ngombe nk hapa tanzania kwa anayehitaji hii deal ani contact me 0716567467 ili nim connect nao

Wako tayari kutoa % ngapi ya bei watakayouza?
Mimi naweza kuwaunganishia soko la uhakika wa ku-supply nyama ya Ng'ombe, kuku, samaki n.k. Lkn wawe wanaleta wao wenyewe. Na soko liko mikoani, siyo Dar.
 
Back
Top Bottom