Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu... Natarajia kununua Nissan March 2004, nahitaji kujua kama kuna mwenye uelewa juu ya gari hizi uzuri na matatizo yake....
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu natafuta compressor washing machine kwa ajili ya kuoshea magari. Natafuta inayotumia petrol mana nilipo hakuna umeme. Mwenye nayo au anayejua zinapouzwa na bei yake naomba anijuze...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
We offer all e-mail users with a FREE 07366xxxx fax number that is linked to your e-mail address. You can now receive all your faxes in your inbox the same as a e-mail. Should you be interested...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnisaidie ni aina gan ya digital camera n mzur na bei zake zikoje? pia sio mbaya kama mkiniambie sehemu zinakouzwa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Make:Toyota Model:SURF Engine no:1kz Transmission:Automatic Distance:190000km Extras:all payments valid until 2014(road licence and insuarance) dual air bags,power mirror,power window,new...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Yard inangishwa Ipo kinondoni barabara ya ally hassan mwinyi, Ina sifa zifuatazo : Ukubwa sqm 1,800 Jengo la vyumba 7 vya kulala. onaweza ukatumia kama ofisi nk Umeme na maji vipo : Tank kubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna fundi mwenye kipaji na uwezo wa ajabu wa kutengeneza simu ,simu anazotengeneza ni zenye matatizo kama [i]unlock password [i] internet connection..simu anazodili nazo ni [i]NOKIA [ii]SAMSUNG...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nyumba ya kawaida inauzwa mbagala kiburugwa.nyumba hiyo ina vyumba vitano na sehemu ya kiwanja ipo.ipo kwenye mtaa unaopitika na gari hadi hapo kwenye nyumba. Nyumba ina title deed yaan (hati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Halo Wanajamii. Ninauza eneo la ukubwa wa eka 2, eneo lipo kidimu maeneo ya mpigi kwa mbele. Eneo halijapandwa chochote. Lina mchanganyiko wa bonde na tambarale. Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wote wa JF. Rafiki yangu anataka kununua Toyota Noah Old model. Pesa yake ni sh milioni 8. Mimi siyo Dalali. Muuzaji yeyote mwenye gari kama hiyo ani PM, au anitunie picha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
ndugu wana jf heshima kwenu.. naomba mwenye kujua bei za mashine za kujazia upepo anijuze.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Tunauza line ya M PESA laki tatu, kwa ambae utahitaji tumia namba 0713110351, 0787978879,0654070472, na 0757627080
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba kufahamu bei ya tecno phantom A2 na nijue kama n line moja au mbili
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau wa kilimo natafuta mashamba ya kukodi maeneo ya maji kwa ajili ya kulima mboga mboga.. kama ruvu hivi na maeneo mengine yenye maji. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Apartment inauzwa eneo ni Mikocheni, karibu na maeneo ya kwa Warioba. katika hilo jengo wapangaji wanalipa kodi $2500 kwa mwezi. kwa mawasiliano 0773 944 944
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Napatikana korogwe barabara ya kwenda magunga hospital.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Simu bado mpya inakila kitu chake bei tsh 150000.kwa manunuzi 0712458872 (muuzaji)
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waku hebu naomben ushaur wenu juu ya hiz camera
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina kiwanja nauza mbezi makabe karibu na shule ya msingi makamba,ni sehemu watu wanajenga majumba ya kifahari, ukubwa 20x42, bei 12M kina hati ya serikali ya mtaa. dakika 5 kutoka barabara iliyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom