Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wapendwa natafuta bucha linalouza nyama ya mbuzi Dar es Salaam Ni muda mrefu sana sijapata hii nyama mwenye connection atoe location na namba zao za simu
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya NHC maeneo ya Upanga au posta mwenye uwelewa na hatua za kufata ili uweze kupata anijuze Tafadhali na bei pia ni shilingapi kupanga.
1 Reactions
40 Replies
14K Views
Lige Smart Watch Genuine Assured[emoji736] answer Calls & Make Calls and Msg[emoji736] Get an extra Strap Measure[emoji736] 7 days with Charge [emoji736] Steps, Calories, Steps, Weather [emoji736]...
0 Reactions
2 Replies
999 Views
Nimekutana nayo mahali nimeona nishee (Copy&Paste), Makadirio ya chini ya umbali kwa cc 1400s hadi 1500s GAS KILO 1 NI SHILINGI 1590[emoji95][emoji95] Kg 15 inatembea km 230 Kg 11 unatembea km...
5 Reactions
40 Replies
8K Views
Based on Dar es salaam & Zanzibar. Generator Services, Refrigerator Services, Air conditioners Services, Electrical wiring, Washing machines services. For first & Reliable Services call us First...
0 Reactions
2 Replies
824 Views
Waungwana natafuta mtu anaeuza Passo bajet yangu Mil 3.
3 Reactions
55 Replies
3K Views
Kwa mwenye uhitaji wa gari hii hapa, Aina ya gari: Passo, Piston 3, CC 990 Gari ipo Dar es salaam, ukitaka kuiona nipigie kwa namba 0686866276 Nimeitumia kwa bolt na Uber kuanzia mwezi July...
6 Reactions
47 Replies
4K Views
Habari wana jamvi, natafuta soko la pumba za mahindi. Kwa sasa nina jumla ya gunia 1,000 zenye ujazo wa debe saba kila moja. Mahali: Kasulu Kigoma Mawasiliano: +255 76 2 061 694 Ahsanteni sana.
1 Reactions
2 Replies
827 Views
JE WAJUA KAMPUNI YA NEMTEK: Nemtek imekuwa nguvu ya ubunifu na ya kutegemewa katika tasnia ya uzio wa umeme kwa zaidi ya miaka 30. Inatengeneza anuwai kamili ya vichangamshi na maunzi ya uzio...
0 Reactions
2 Replies
864 Views
NOW NI MFUMO WA KUCHAKATA RATIBA YA VIPINDI AUTOMATICALLY Huu Ni kwa level zote za elimu [emoji3591]Chekechea [emoji3591]Primary school [emoji3591]O level [emoji3591]A level [emoji3591]Vyuo...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Kuna utofauti kati ya kampuni na jina la biashara (business name). Jina la biashara ni jina la utambulisho ambalo umeamua biashara yako ifahamike na kuitwa. Mfano ni majina ambayo wengi...
2 Reactions
3 Replies
11K Views
Je, umesoma kitabu hiki? Angalia picha ya gamba (cover) lake kitabu hicho. Na, je, unajua maana ya usonji? Kwanza tuujue usonji (Kiingereza, autism) Usonji ni hali ya kuwa na changamoto za...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni la milango mitatu Material yake ni mdf Bei ni 350,000 Lipo Sinza Remy Mawasiliano: 0685661790
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana jamii nahitaji supplier wa hii miti ni micharaka inaitwa au mkambara nahitaji PC 8000 location bagamoyo kidomole kila PC ntalipia 3000 namba zangu 0658009530
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naitwa Alfredy Angelo natafuta kazi, nina ujuzi katika fani ya ujenzi. kama kujenga, kupiga plaster, kufitisha madirisha na flemu za milango asante. Napatikana Dar es salaam. +255676237106
2 Reactions
1 Replies
769 Views
Ndugu wafanyabiashara, wajasiriamali na wabobezi wa masuala ya uchumi wasalaam! Mimi huwa najishughulisha na uchimbaji wa madini ya Rubby na Dhahabu, sasa naomba kwa mwenye uzoefu wa soko zuri la...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Zipo njema used as new Bei ni laki mbili kwa kila moja No:0658554720
0 Reactions
2 Replies
944 Views
Hizi App kwa sasa zipo tayari: Tokomeza utoro wa wanafunzi shuleni. 1. Attendance app By one click sms yakawaida inamwendea mzazi. Haihitaji kuwa na computer wala mtandao wa internet...
3 Reactions
0 Replies
707 Views
Heka zipo Arusha maeneo Kingori, Kikatiti, Maji ya chai na sehemu zingine. Heka zilizopo km 4 ni kuanzia ml 11 unaweza kulipia cash au kidogo kidogo. Heka zilizopo km 5,6,7, na kuendelea unaweza...
8 Reactions
63 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…