Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Watoto,zakike na zakiume kila size kila mtindo Kazi yangu ni kukuuzia Yuan ama kukulipia kwa supplier wako Natoa hesabu kwa baadhi ya soksi kwa rate yangu ya leo ya yuan 379 men's socks...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamiiforum kama heading yangu inavyosema hapo naomba mwenye kujua mawasiliano ya bwana huyo Samadu Hassan ambae awali alikuwa mtangazaji wa RFA anisaidie
0 Reactions
1 Replies
889 Views
Kwa wafanyabiashara wakubwa wa gas wa jumla na reja reja kuna mitungi ya Gas inauzwa. Mitungi hii ni Empty haina Gas, kampuni za Gas zilizopo ni zote kasoro ORYX tu. CAM GAS MIHAN/TAIFA GAS OGAS...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wakuu, Lenovo Xiaoxin 700-15ISK ya CORE 7 yenye NVIDIA GEFORCE GTX imezima natafuta fundi anitengenezee nipo DAR. . Taa inawaka vizuri kabisa. . Tatizo screen ndio haiwaki .. Niliipeleka...
1 Reactions
6 Replies
555 Views
Jamani nauza tank used ltr 2000 la aina ya kiboko, bei ni Tsh. 350,000/- Ukiitaji nicheki 0693972647, nipo Dar es Salaam.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta ps3, nipo Morogoro. Bajeti yangu ni Tsh. 200,000/- Mawasiliano: 0679680895
0 Reactions
1 Replies
487 Views
Toyota rav 4 Year 2006 Cc 2360 2wheel drive Miileage: 69,969 Car direct from Japan Car registered. Price 32,500,000 Phone 0767507487
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Asalaam alaykum nyote i hope mu wazima kwa ambaye afya imeyumba like me M/Mungu atuhafu amiin.. Wakuu naombeni mwenye kujua soko/viwanda/mahali wanapo nunua Oil Chafu (Crude Oil) na bei yake kwa...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Ninauza milango mipya ipo 22 ni mti wa mkongo Ipo milango 22 na kila mlango mmoja ni sh 230000 Ipo Ilala Bungoni Call: 0788929673
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Wana jamii. Habari ndugu jamaa na marafiki Kwa wale wanaopenda sana mambo ya blog au website basi leo nawaletea website ya habari(newsportal) iliyokamili kabisa inauzwa Kwa matumizi...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Habarini, Naomba ushauri kuhusiana na biashara ya kukodisha turubai, je ni size ipi ambayo inapendwa sana katika kukodishwa (4m kwa 10m au 6m kwa 10m au 8m kwa 10m)? Material ipi ya turubai uwa...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Viwanja vya makazi ukubwa tofauti tofauti kuanzia sm² 600, 1000 na zaidi vinapatikana Huduma za maji, umeme na barabara ya changarawe Bei tofauti tofauti Tuwasiliane no 0658164307
0 Reactions
5 Replies
598 Views
Chagua rangi yoyote geji 30 hii no ofa kama unataka idadi yoyote unapata kwa 33500 piga 0743257669 uliza kwanza kwa wengine ukijua bei ndio uje kwangu uone hii ofa babkubwa tupo Buguruni hatuna...
1 Reactions
4 Replies
835 Views
Hello wadau karibuni hapa ni mabegi na pochi kali kwa bei nafuu. Pochi 15000 mabegi ya shule 20000, safari begi 30000 karibuni Sana. Namba zangu za simu 0692436124, napatikana Moshi mjini mkoani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji pooltable nzima used na mbovu kwa ajili ya biashara ninapatikana moshi kilimanjaro lakini naweza kulifuata popote ulipo Ukinichek WhatsApp itakua poa zaidi 0682770944
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Kibaha Muheza 48 ml ( Maongezi Yapo ) 3 kilometers kutoka Mailoja. Eneo 18*25 Vyumba vitatu vya kulala 1 master bedroom Sebule na dinning room Public toilet Jiko na stoo yake Fremu ya duka...
0 Reactions
5 Replies
682 Views
Jipatie Vape yako ili Weekend yako iende poa Tunazo aina Mbalimbali za vapes -Youto -Hcow -Foco Zenye flavor Mbalimbali pia Delivery ipo kwa waliopo Dar... Mikoani Tunatuma pia WhatsApp & Calls...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sababu za PC yako kutowaka ni; Note: hakikisha umeiweka kwenye chaji yawezekana chaji ilikuwa imeisha. Isipowaka ... tatizo linaweza kuwa; ✓ Charger imeharibika ( adaptor au power cable mbovu)...
0 Reactions
0 Replies
416 Views
VIWANJA VINAUZWA BUYUNI PEMBA MNAZI KIGAMBONI Vinauzwa na SNOW PROPERTY LIMITED (SPL) yenye ofisi zake Magomeni mwembechai opposite sheli ysSopco Viwanja hivi vina sifa zifuatazo: Vipo umbali...
1 Reactions
1 Replies
956 Views
Habari wakuu. Kama mjuavyo shida haibishi hodi. Nimepata dharura na nahitaji mkopo wa shilingi laki 4 (400,000 tshs). Nitarudisha baada ya siku 30 kwa riba ya 20%. Dhamana ni laptop yangu...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom