Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari ndugu zangu Jumamosi tarehe 14.10.2023 nahitaji freezer kampuni ya hisense mpya lita 200 nina laki sita. Natanguliza shukran
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Habari! Nahitaji gari aina ya: 1. Runx, au 2. Allex, au 3. Spacio Kwa budget tajwa hapo Juu. Namba kuanzia C na kupanda Juu. Tuma picha WhatsApp tu: 0656142433
1 Reactions
0 Replies
567 Views
Habari wana jamii Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, maeneo ya Kitunda (Magole) Ukubwa ni Sqm 400 (meter 20 kwa 20) Umbali kutoka barabara kuu ya gari. Ndani ya kiwanja kuna pagala la vyumba...
0 Reactions
2 Replies
963 Views
Utangulizi Soko mahalia ni jumla ya shughuli za kununua na kuuza viwanja, mashamba na majengo ndani ya eneo husika. Soko mahalia la wilaya ya Mbeya mjini hutofautiana na wilaya yoyote iliyo nyanda...
1 Reactions
0 Replies
647 Views
Hii bahati sio ya kuiacha. Hatimae baada ya kukwama kifedha nimeamua kutangaza nauza viwanja vyangu, nina eneo lina ekari nne(4), nauza kwa eka! Bei ya ekari moja ni milioni 6 tu! Eneo lipo...
2 Reactions
294 Replies
49K Views
Wanajamii wenzangu wa JamiiForums, Nimeunganishiwa deal ya kupeleka viatu vya Kimasai Ivory Coast na ndugu yangu wa ki Tanzania anayekaa na kufanya kazi kule. Ombi langu kwenu, mwenye kujua...
2 Reactions
10 Replies
817 Views
Nauza Nokia 3310 full box kwa 65k tuuu
0 Reactions
6 Replies
762 Views
Iphone Xr gb 64 Face id [emoji736] True tone [emoji736] Battery health 74% karibu
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Nauza Samsung Galaxy note 20 5g full box kwa 630k tuuuu Ina ram 8 storage 128 Pia zip Nokia 3310 kwa 65k tuuu
1 Reactions
0 Replies
571 Views
Aina: samsung galaxy A21S Internal memory: gb 64 Condition: Good as new(haina kipengere) Location: Dar Bei: 200k(laki mbili)
2 Reactions
1 Replies
516 Views
Fursa ya mafunzo ya upishi kwa Wasichana waliohitimu Elimu ya Msingi na Sekondari
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Mashine ya Diagnosis Launch Golo Pro Inapima Gari ndogo, Malori, electric cars, Excavators na mitambo mingine, Special functions zaidi ya 30 Active test Immobilizer and Key Programming...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Ninazo GPS za aina mbalimbali kwa ajili ya vyombo vya moto, TV, Computer, n.k.. Zina sifa zifuatazo. 1. Ina uwezo wa kuzima chombo kwa kutumia simu yako. 2. Ina Live location na live tracking...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Imetumika Bei 2.5m Gari zote ndogo. Special Functions 23 Ipo Dar. Piga simu 0688 758 625
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Hii mashine ni nzuri sana na sifa ya kipekee kuhusu hii mashine ni kwamba inakuwa reference table upande wa nyuma hivyo kumuwezesha mtu yoyote hata ambaye ni layman kuweza kupima battery yoyote na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu heshima kwenu. Kuna watu wako busy kwenye kazi, wengine hawajui kusimamia nyumba kwa maana ndio ujenzi wa kwanza labda. Sasa ondoa shaka mtaalamu kijana wa kiha muaminifu anapatikana. Ni...
3 Reactions
1 Replies
557 Views
Kama uko Iringa,njombe na Makambako Na unataka line za uwakala wa Voda au Tigo nicheki hapa 0752669640
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Asilimia kubwa ya matatizo ya engine kuzimazima yanasababishwa na components za umeme kama Sensors, Valves, solenoids n.k. Engine inaweza kuzima muda wowote mfano wakati ipo idle, wakati...
10 Reactions
15 Replies
8K Views
MPYA HII,hapa mfanyabiashara na mtumiaji wa viazi mviringo,,,,,,,,,,(kiepe) Msimu umewadia.tenaaaaaa, KARIBU,mkoa wa NJOMBE,kusini mwa Tanzania, ujipatie viazi mviringo aina zote,unazotaka wew kwa...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari za wakati huu; Kutokana na dharura hili eneo lipo Sokoni. Eneo Lipo Boma Ng'ombe kwa Wasomali Eneo lina Boma kama linavyoonekana pichani lenye vyumba 3 sebule Jiko na Dining. Pia kuna boma...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Back
Top Bottom