Bei ni elfu 25 tu,
Material ni polyester maarufu kama kitambaa cha Zanzibar ambacho ni rahisi kufua na kupasi (au kitambaa cha sukarisukari kinachoteleza).
Tupo Manzese Tiptop,DSM.
Delivery...
Habari za Muda!
Nahisi mwatu wenge anafahamu mpya investment kama Bitcoin (Tunashukuru CYBERTEQ kwa huu maelezo - Historia ya BITCOIN; Uliza chochote nitajitahidi kukujibu.).
Huku nataka kuonesha...
Habari wakuu
Nauza eneo langu lenye ukubwa wa kari 3 liloko Mkoa wa Morogoro, eneo la Wami Luhindo (km 20 toka msamvu stend, Dodoma road) , Kisha unaingia bara bara ya vumbi na gari km 8 hadi eneo...
Je wewe unatamani kumiliki duka la Mtandaoni?Je tayari unayo fremu ya duka?Je Tayari unazo kurasa za mitandao ya kijamii?Kama Jibu ni Ndio basi huu ni wakati wako.
Mnada maalum wa tovuti za E...
KIBAHA KWA MFIPA
Kiwanja kimepimwa kina Hati
Ukubwa ni Sqm 450
Kiwanja kipo Kibaha kwa Mfipa
Kinauzwa million 2.5
Boda elfu 2 hadi kwenye kiwanja
Mwenyewe anauguza ana shida sana, mwenye kuwahi...
KIBAHA KWA MFIPA
Kiwanja kimepimwa kina Hati
Ukubwa ni Sqm 450
Kiwanja kipo Kibaha kwa Mfipa
Kinauzwa million 2.5
Boda elfu 2 hadi kwenye kiwanja
Mwenyewe anauguza ana shida sana, mwenye kuwahi...
Wakuu,
Tuungane kupeana Riziki. Leo nataka kuunga mkono mwanajamvi mwenye kuuza cameras.
Kama unauza, nataka Sonny Cyber shot. Au nyingine inayoendana na hiyo
Ni PM tufanye biashara.
Nipo Dar...
kama wewe ni mwaka wa kwanza na unataka kupata nafasi ya hostel high quality check me 0713519111 nafasi ni chache.. NB; CHUO HAKINA HOSTEL KWA WANAFUNZI YAAN UNAJITEGEMEA.
Natafuta Benz ya E/C 200 ikiwa nyeusi itapendeza zaidi,Mfano wake Kama huu iwe 2014 au 2015
Iwe na number au bila number offer ipo 45 million 0787757175
Ya muonekano huo Pungunza password Toa...
KAMA UKO SERIOUS;
Sidhani kama uko serious na hii biashara utashindwa kuchukua hii ps4.
Chukua ps4 fat, ina game la GTA
Imechipiwa,
Bado mali ni mpya tuu.
Pad hizo apo ni mpya.
Kwasababu halina...
Baada ya kupigika mno, nimeomba gari ya mtu walau nijipatie pesa kidogo kusogeza siku mjini!
Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990
Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku...
Price/bei 9.5
0745363477
TOYOTA IST (DDR)
Cc 1490
Year 2003
Automatic
Radio Fm
Full Ac
Black & Clean interior
Gari nzuri Mnoo[emoji94][emoji94][emoji94]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.