Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bei ni elfu 25 tu, Material ni polyester maarufu kama kitambaa cha Zanzibar ambacho ni rahisi kufua na kupasi (au kitambaa cha sukarisukari kinachoteleza). Tupo Manzese Tiptop,DSM. Delivery...
1 Reactions
2 Replies
705 Views
Habari za Muda! Nahisi mwatu wenge anafahamu mpya investment kama Bitcoin (Tunashukuru CYBERTEQ kwa huu maelezo - Historia ya BITCOIN; Uliza chochote nitajitahidi kukujibu.). Huku nataka kuonesha...
2 Reactions
31 Replies
9K Views
Habari za sahizi Naishi Dodoma Chang'ombe, kaka angu kafungua salon anatafuta KINYOZI kama yupo mwenye ujuzi huo anicheki
0 Reactions
2 Replies
374 Views
Tunazalisha Sweta za shule zenye ubora na kwa haraka. Karibuni sana. Contact 0655 611 153
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wakuu Nauza eneo langu lenye ukubwa wa kari 3 liloko Mkoa wa Morogoro, eneo la Wami Luhindo (km 20 toka msamvu stend, Dodoma road) , Kisha unaingia bara bara ya vumbi na gari km 8 hadi eneo...
2 Reactions
5 Replies
837 Views
Je wewe unatamani kumiliki duka la Mtandaoni?Je tayari unayo fremu ya duka?Je Tayari unazo kurasa za mitandao ya kijamii?Kama Jibu ni Ndio basi huu ni wakati wako. Mnada maalum wa tovuti za E...
0 Reactions
7 Replies
839 Views
KIBAHA KWA MFIPA Kiwanja kimepimwa kina Hati Ukubwa ni Sqm 450 Kiwanja kipo Kibaha kwa Mfipa Kinauzwa million 2.5 Boda elfu 2 hadi kwenye kiwanja Mwenyewe anauguza ana shida sana, mwenye kuwahi...
0 Reactions
0 Replies
686 Views
KIBAHA KWA MFIPA Kiwanja kimepimwa kina Hati Ukubwa ni Sqm 450 Kiwanja kipo Kibaha kwa Mfipa Kinauzwa million 2.5 Boda elfu 2 hadi kwenye kiwanja Mwenyewe anauguza ana shida sana, mwenye kuwahi...
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Gari hiyo hapo. Bei ni milioni moja laki tisa na elfu themanini (1,980,000). Whatsapp 0656388678
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu, Tuungane kupeana Riziki. Leo nataka kuunga mkono mwanajamvi mwenye kuuza cameras. Kama unauza, nataka Sonny Cyber shot. Au nyingine inayoendana na hiyo Ni PM tufanye biashara. Nipo Dar...
0 Reactions
3 Replies
479 Views
kama wewe ni mwaka wa kwanza na unataka kupata nafasi ya hostel high quality check me 0713519111 nafasi ni chache.. NB; CHUO HAKINA HOSTEL KWA WANAFUNZI YAAN UNAJITEGEMEA.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Natafuta Benz ya E/C 200 ikiwa nyeusi itapendeza zaidi,Mfano wake Kama huu iwe 2014 au 2015 Iwe na number au bila number offer ipo 45 million 0787757175 Ya muonekano huo Pungunza password Toa...
1 Reactions
0 Replies
594 Views
KAMA UKO SERIOUS; Sidhani kama uko serious na hii biashara utashindwa kuchukua hii ps4. Chukua ps4 fat, ina game la GTA Imechipiwa, Bado mali ni mpya tuu. Pad hizo apo ni mpya. Kwasababu halina...
2 Reactions
0 Replies
473 Views
Sina maneno mengi njoo kagua hii lipia cash! IST, black color,2006,1290cc, DF*,android tv,full ac,no accident!well maintained. Location: Masaki
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Imenunuliwa Picha post #2
0 Reactions
57 Replies
2K Views
Wadau, mwenye kujua bei na brand za mashine nzuri za nafaka kusaga na kukoboa anisaidie
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Baada ya kupigika mno, nimeomba gari ya mtu walau nijipatie pesa kidogo kusogeza siku mjini! Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990 Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Price/bei 9.5 0745363477 TOYOTA IST (DDR) Cc 1490 Year 2003 Automatic Radio Fm Full Ac Black & Clean interior Gari nzuri Mnoo[emoji94][emoji94][emoji94]
0 Reactions
5 Replies
668 Views
TOYOTA IST[emoji593] PRICE 11.5 MIL YEAR 2002 FULL AC FULL DOCUMENT LOW MILAGE NEW 4 TYRE LOCATION DSM 0745363477
0 Reactions
1 Replies
526 Views
Back
Top Bottom