Unauza au unakigawa bure mkuu? Mbona bei hujaweka?
Hujasena kama kimepimwa au la.Kiwanja kiza uzwa Arusha njiro mkono kina Square meter 1080 kipo karibu na barabara na huduma zote zaki jamii kwa mawasiliano zaidi tupigie 0623869717
Kumbe upo Arusha mama?Njiro ipi? Hiyo Njiro nayo ni kubwa mno Msola ama FFU?
JF raha sana 🤣🤣Kumbe upo Arusha mama?
Nitakutafuta nikakununulie hicho kiwanja
Sema nasikia siku hizi kuna barabara ya lami mkonoo - Njiro.Mkonoo siyo Njiro
No way it cant be true. Hapo ni kuanzia 100k usd +Amesema ni milioni 8!
Mkonoo sio Njiro. Ni ukishapita Njiro. Hiyo bei ni sawa.No way it cant be true. Hapo ni kuanzia 100k usd +
HakunaSema nasikia siku hizi kuna barabara ya lami mkonoo - Njiro.