Habari upo morogoro na unatafuta fundi
Karibu upate mafundi waaminifu huduma tutoazo
FUNDI MADISHI
FUNDI UMEME
FUNDI MAFRIJI
Karibu upate huduma za KUFUNGA TV UKUTANI, huduma zote zinazohusu...
Kahawa Safi iliyoandaliwa
kwa umakini, inapatikana.
A. 0.5Kg Tshs 13,000/=
B. 1kg = Tshs 25,000/=
Maximum package hadi 5kg.
Popote pale ulipo,
unaweza kuipata
Call: 0715 240 140
Whats: 0715...
Habari Wana JF, Kama Kichwa Kilivyoeleza. Nahitaji Eneo la Biashara ya Chipsi Na Mgahawa Kwa Kupanga Na Ikiwezekana Tuma Na Picha Ya Eneo Lenyewe tuje tuingie Mkataba.
Haya ndo Maeneo...
Nauza jack za umeme.hizi n nzur sababu Kwanza zinapunguza matumizi ya nguvu n kuruhusu umeme wa gari ufanye kaz.pia znafungua tyre pamoja na kujaza upepo,jack Hz utumia umeme wa gari ambapo...
Wakuu kuna hawa Ng'ombe Aina ya Fleckvieh ambao ni Dual- purpose cow yaani wanafaa kwa ajili ya Maziwa na Nyama na wanatoa maziwa Mengi labda kuliko aina yoyote ile ya Ng'ombe.
Nilitaka kujua...
Wakuu habari,
Nauza ITEL A24
SPECS
RAM 1GB
ROM 16GB
SCREEN SIZE 5"
BATTERY (Removable) - 2400MAH
Ni simu ya promotion ya tigo, line 1 ni tigo & line 2 laini yoyote inakubali
Ni mpya kabisa...
Habari wakuu,
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na sifa zifuatazo;
1. Iwe maeneo ya Riverside Dar es Salaam
2. Isiwe mbali sana na stendi ya Riverside
2. Iwe na chumba kimoja master na sebure
3...
Tunafanya huduma ya water proof maeneo yafatayo.
TOP ROOF( CONCRET) (paa la juu la zega)
HIDDEN ROOF (nyumba za kisasa)
WATER TANK (matanki ya maji)
tunatumia vifaa madhubuti kuhakikisha...
Je, unatafuta njia mpya ya kujiongezea kipato chako na kuanzisha biashara yako mwenyewe? Tunayo fursa nzuri kwa ajili yako! Jiunge na Programu yetu ya Reseller leo na uanze kujipatia pesa kwa...
Habari za muda huu wana JF,
Bila kupoteza muda,siku ya Ijumaa natarajia kuanza safari ya kutoka Dar Es Salaam kuelekea Katavi kwa shughuli binafsi na natarajia kupita DODOMA kwa mara ya kwanza...
Brand: Mitsubishi Pajero
Manufactured year : 2004
Imported from : Japan
Engine capacity : 2,970 CC
Fuel type : petrol
Transmission : Automatic
Clean condition
Adroid radio
mileage 249,283 Km...
Kutana na timu yetu ya Wataalamu ujenzi tuliobobea katika fani hii, Makao makuu yetu yapo MOROCCO na SINZA jijini Dar es Salaam, Kwa majengo imara na ya kisasa kama apartmenent, nyumba za kawaida...
SIDIRIA
Bei ya china 15yuan kwa kilo 1
Oda kima cha chini 100kg (belo 2)
15x100=1500yuan
1500x379=568500Tsh (379 ni bei yangu ya kuuza yuan kwa siku ya leo 23/09/2023)
100kg nikama sidiria...
Baadhi ya Orodha ya Vyombo vya Muziki na Vifaa vya studio tunavyouza vinavyopatikana Dukani kwetu.
Duka letu lipo Dodoma mjini, (Kizota) kituo cha daladala cha City jengo wanalouza bajaji za TVS...
Habari Wakuu,
Kama kichwa kinavyosema, nahitaji nyumba ya kupanga inayojitegemea kwenye fensi yaani stand alone maeneo ya Mbezi Beach.
~ Nyumba ya vyumba viwili, sebule na jiko inayojitegemea...
Habari nauza gari mil4.5
Aina ya gari ni toyota vista model 2002
Engine capacity 1990
Engine type 3s
Ulaji wa mafita ni mzuri mjini ni 10km /l
Ukiwa safari ni 12 km /l
Mawasiliano 0712206032...
Watoto,zakike na zakiume kila size kila mtindo
Kazi yangu ni kukuuzia Yuan ama kukulipia kwa supplier wako
Natoa hesabu kwa baadhi ya soksi kwa rate yangu ya leo ya yuan 379
men's socks...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.