Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza Subwoofer aina ya mrUk UK21T23 kwa Tshs 140,000 Subwoofer hii nimeitumia kwa muda wa miezi mitatu tu hivyo bado ina upya wake na haina tatizo la aina yoyote na boksi lake pia lipo Mziki ni...
0 Reactions
0 Replies
558 Views
Jipatie spy camera uweze kurekodi matukio na ukaona kupitia simu yako Camera ina sifa zifuatazo Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa Au ukaweka...
6 Reactions
42 Replies
4K Views
Salaam wadau. Kama kichwa cha tangazo kinavyojieleza. Nauza simu tajwa hapo juu yenye sifa zifuatazo:- Simu bado ni mpya, imetumika kwa wiki 2 tu. Storage 8 ni 8/256 gb. Ina kila kitu chake...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
NAUZA CAMERA YA CANON 90D 4K, LENS YAKE, MEMORY CARD 32GB 4K, BETRI YAKE 1, CHAJA YAKE, STAND, REFLECTOR KUBWA NA GIMBAL YA KAWAIDA. PACKAGE HII YOTE NAIUZA KWA TSHS. 2,900,000/= TU, VITU BADO NI...
1 Reactions
1 Replies
441 Views
Bajaji Bei 1.5M, Iko vzur engine iko vzur, njoo ukague ulipie uondoke nayo mawasiliano 0693 794 907 location Dar es salaam Airport N.B haijaenda body.
0 Reactions
2 Replies
864 Views
Toyota starlet inauzwa Bei million 4.3 Cc 1300 Gari ni nzuri Full ac Ipo dar es salaam 0784020604
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello wakuu, habari zenu? Natumaini mko poa. Karibu Oscar Outfits (Instagram : Oscaroutfits_) kwa bidhaa za mavazi kama viatu, nguo (Jeans, Sweet pants, Jerseys, Shorts, Sandals n.k). WhatsApp/...
1 Reactions
77 Replies
3K Views
Nina bajeti ya 6m natafuta kiwanja dar es Salaam kigamboni, madale. Kiwe kimepimwa. Nahitaji kufunga mwaka kwa kishindo.
2 Reactions
6 Replies
809 Views
Habari Wakuu, Nauza laptop yangu sio dalali. Hp,Core i5, Intel(R) Core (TM) i5 Family Processor 4th Generation Laptop 4GB installed RAM. Processing Frequency of 2.40GHz X 2.3GHz. 4CPU's (Core...
0 Reactions
4 Replies
864 Views
Wadau naomba kuuliza mwenye kujua mahali au kampuni inayo tengeneza chupa za maji disposable za lita 18 na lita 13
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo) Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Nina hitaji Nyumba ya kupanga ya Vyumba viwili Moja iwe master sebule jiko ndani ya uzio maji umeme vijitegemee bajeti yangu 200,000/= kwa mwezi nalipa kuanzia miezi minne (4) Maeneo Kitunda...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Wachu group of companies inatoa usafiri wa gari dogo kukuchukua nyumbani kwako mpaka kazini na kukurudisha. Magari yetu yapo katika hali nzuri kabisa na yamesajiliwa kibiashara; Aina ya magari...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Kwanini uteseke kushona nguo zilizochanika/au kufumuka na sindano ya mkono? Sasa tumia mashine hii popote pale . yenye ukubwa wa Stepler pin machine ambayo unaitumia kushona...
1 Reactions
5 Replies
845 Views
Sold Asanteni
2 Reactions
0 Replies
347 Views
3000mAh Battery life (24 hours) Up to 10 devices 200metres Can also be flashed to be used for ALL NETWORKS (Not recommended) In a mint Condition . Price: TZS. 70,000/= . Call: 0717 650800
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari za mida wana jamvi asee ninatafuta au kuulizia juu ya wauzaji wa pool tables used na mpya kwa hapa mkoa wa mwanza mwenye no zao au anitajie mitaa ipi ntawapata hawa raia.
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Habari, Nina dumu 200 za asali mbichi, Lita 20 natafuta wateja ziko Tabora, nzuri sana nyuki wakubwa, imevunwa mwaka Jana,kuhusu bei Lita 20 nauza 130,000 Kwa Kila dumu.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa anayependa kufanya biashara ya platform za AI hizi za Generative (kutengeneza Picha na maandishi) Nina platform ambayo nilitengeneza na siku itoa public... ninauza Kwa interested buyer...
2 Reactions
2 Replies
653 Views
Habari Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19 Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma...
1 Reactions
7 Replies
770 Views
Back
Top Bottom