winchester
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 225
- 193
Nauza security alarm kwa ajili ya matumizi binafsi na kiofisi. Alarm hii ni wireless, inakuja na motion sensor nne , na windows/door sesnor 4, rimoti 2 kwa ajili ya kuwasha na kuzima , RIFD 2 , kwa ajili ya kuwasha na kuzima pia, lakini pia inaweza kuwashwa na kuzimwa yenyewe kupitia keypad yake.
Kifaa hiki kina sifa zifuatazo.
1. Inauwezo wa kujiwasha na kujizima chenyewe , kwangu hii ndio feature ninayopenda hakuna usumbufu wa kuhakikisha kuwa imewasha au imezimwa na hata nisipokuwa nyumbani nina uhakika ya usalama
2. Itakutumia ujumbe wa sms pale inapowaka au kuzima au kama imedetect motion ikiwamo kufunguliwa kwa madirisha milango au movement za watu.
3. Inauwezo wa kufanya kazi masaa 24, yani ukaiwasha huku ukiendelea na shughuli zako bila usumbufu, hapa inakuruhusu kuwasha sensor za kwenye madirisha pekee bila kuwasha motion sensor, hivyo ikitokea mtu kufungua madirisha basi itapiga kelele.
4. Ina uwezo wa kuwasha au kuzima ukiwa mbali ukitumia application ya simu.
5. Inatumia umeme kidogo sana na haina waya hivyo haitaharibu muonekano wa nyumba na rahisi kuhamishika.
Hizi ni sifa chache ambazo mimi kama mtumiaji nazipenda pia lakini ina sifa nyingine nyingi , alarm hii ni nzuri sana itazuia/itapunguza wizi wa vitu majumbani au ofisini, karibuni sana bei yake ni laki nne tu (Tsh 400,000).usikose hii alarm zipo chache.
Pia kwa mahitaji ya car gps tracker, tv tracker , alarms (wired and wireless) electric fence , cctv camera , fire alarms , all repairs and maintance of security system , niandikie email , info@isecure.co.tz , nipigie simu namba 0714890018
Karibu sana.
Ofa Maalum kwa Wadau Wetu! 🎁🔧
Tunapenda kuwatakia Sikukuu njema za mwaka huu wa Christmas na mwaka mpya ! Shukrani kwa uaminifu wenu kwetu na support mliyotupatia Isecure technology , tungependa kushiriki na nyinyi furaha ya msimu huu wa Sikukuu kwa ofa ifuatayo.
🎁 OFA YA SIKUKUU: Car Diagnostics BURE!
🔍 Pima Hali ya Gari Lako Bure! , tutakupatia report /reset kwenye error codes . Kwa matengenezo utawasiliana na fundi wako, ZINGATIA: hatuhusiki na utengenezaji wa magari ila tu kujua matatizo ya gari yako bure , ofa hii ni kwa wadau wa jamiiforums na wakazi wa Dar es salaam tu . Nipigie 0754200363
Kifaa hiki kina sifa zifuatazo.
1. Inauwezo wa kujiwasha na kujizima chenyewe , kwangu hii ndio feature ninayopenda hakuna usumbufu wa kuhakikisha kuwa imewasha au imezimwa na hata nisipokuwa nyumbani nina uhakika ya usalama
2. Itakutumia ujumbe wa sms pale inapowaka au kuzima au kama imedetect motion ikiwamo kufunguliwa kwa madirisha milango au movement za watu.
3. Inauwezo wa kufanya kazi masaa 24, yani ukaiwasha huku ukiendelea na shughuli zako bila usumbufu, hapa inakuruhusu kuwasha sensor za kwenye madirisha pekee bila kuwasha motion sensor, hivyo ikitokea mtu kufungua madirisha basi itapiga kelele.
4. Ina uwezo wa kuwasha au kuzima ukiwa mbali ukitumia application ya simu.
5. Inatumia umeme kidogo sana na haina waya hivyo haitaharibu muonekano wa nyumba na rahisi kuhamishika.
Hizi ni sifa chache ambazo mimi kama mtumiaji nazipenda pia lakini ina sifa nyingine nyingi , alarm hii ni nzuri sana itazuia/itapunguza wizi wa vitu majumbani au ofisini, karibuni sana bei yake ni laki nne tu (Tsh 400,000).usikose hii alarm zipo chache.
Pia kwa mahitaji ya car gps tracker, tv tracker , alarms (wired and wireless) electric fence , cctv camera , fire alarms , all repairs and maintance of security system , niandikie email , info@isecure.co.tz , nipigie simu namba 0714890018
Karibu sana.
Ofa Maalum kwa Wadau Wetu! 🎁🔧
Tunapenda kuwatakia Sikukuu njema za mwaka huu wa Christmas na mwaka mpya ! Shukrani kwa uaminifu wenu kwetu na support mliyotupatia Isecure technology , tungependa kushiriki na nyinyi furaha ya msimu huu wa Sikukuu kwa ofa ifuatayo.
🎁 OFA YA SIKUKUU: Car Diagnostics BURE!
🔍 Pima Hali ya Gari Lako Bure! , tutakupatia report /reset kwenye error codes . Kwa matengenezo utawasiliana na fundi wako, ZINGATIA: hatuhusiki na utengenezaji wa magari ila tu kujua matatizo ya gari yako bure , ofa hii ni kwa wadau wa jamiiforums na wakazi wa Dar es salaam tu . Nipigie 0754200363