Someone would like to rent a shop about 50sqm at Msimbazi Street Kariakoo. If you have available shop please email me the details or if your phone have WhatsApp, please add me at this number +255...
Wakuu bajeti yangu ndo hiyo nahitaji smartphone nzuri yenye kukaa na chaji yenye urefu wa kioo kuanzia inchi 4.5 na ram 1gb, lakini isiwe kampuni ya Tecno, na Huawei, kama serious seller...
Samsung Powerbank for quick sale in Dar, free delivery.
Specs: Capacity=5600mAh / Input=DC5V, 1.0A / Output=USB5V:1A
See attached photos / give your number for pics via WhatsApp. Used for 2...
Je una Gari safi ambayo sio kimeo , (Engine safi, Body safi exterior and interior... sio magumashi kwa maana ya Kua haina kesi vibali vyote viko poa) bajet 5.5m kama gari iko bomba zaid ninaweza...
Nyumba inauzwa maeneo ya Boko. Ni nyumba ya kisasa kabisa yenye eneo kubwa la kupaki hata gari 5, ina fensi nzuri kabisa kama inavyoonekana kwa picha hapo chini. Tuwasiliane kwa namba hii kwa...
Toyota NADIA
Engine type 3S
Engine Capacity 1998
Registration T.......ASQ
Year of Manufacture 2003
Colour Red
Body STATION WAGON
Price 3.5 M
Runing Condition
Road Licence Expired
Location DSM...
Iwe kuanzia maeneo ya Mivinjeni hadi ufundi.
Kiwe kimoja au viwili ila kinachojitegemea yani sio choo cha kuchangia.
Kodi isizidi 100,000 kwa mwezi.
kama kipo tuwasiliane.
Usinipm kama hakina...
Wakuu naomba msaada,
Nahitaji kununua Flat TV 42inch. Sasa nimekuta kuna Samsung LED na Samsung Plasma. Sijui nichukue ipi, Maana sijajua tofauti zake ni zipi.
Please nisaidieni..
Mwekezaji anahitaji maeneo makubwa, Kigamboni,Bagamoyo na Kibaha. Lengo ni kupima viwanja kujenga na kuuza. Hivyo mwenye eneo anaweza kuuza au kuingia ubia. Kwa mawasiliano piga.0773 944 944.
Two storey semi finished house with 4 self contained bedroom, 1 en-suite, office/ study room, big living room, kitchen and 2 garages on 1475 Sqm plot with clean tittle deed. Located at Bunju A...
Kipo mpakati mwa cheka na ndege , kinaukubwa sqm 937 , kipo umbari wa 2km toka maji ya bahari na umbali wa 800mita toka barabara ya lami. bei ni 5m. kimepimwa na kipo sehemu ya makazi ,kipo karibu...
UNLOCK HERE YOUR PHONE LIKE HUAWEI,VODAFONE,PAN-TECH,IPHONE,NOKIA,SAMSUNG,BLAC KBERRY IPHONE 4,4S,5,5C,5S,6,6+NK
HUAWEI Y530,Y520,Y330,Y300,Y221,Y220, Y200 JUST FOR 9,000/= MPESA.(DAKIKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.