Nina laki mbili (200,000/=) nahitaji Simu

Nina laki mbili (200,000/=) nahitaji Simu

Tujisahihishe Tz

Platinum Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
3,061
Reaction score
1,367
Wakuu bajeti yangu ndo hiyo nahitaji smartphone nzuri yenye kukaa na chaji yenye urefu wa kioo kuanzia inchi 4.5 na ram 1gb, lakini isiwe kampuni ya Tecno, na Huawei, kama serious seller tuwasiliane kupitia namba +13234256614
 
Wabongo bana! Iyo bei yako kanunue cover la simu!
 
Utapata simu nzuri tu kwa hiyo bei ... Warranty 12 months !!! Namba yangu 0655 518090
 
Ongeza 50000 uende maeneo ya Bilicanas ziko za haramu........usihofu hakuna mahakama ya kadhi tena.
 
Wakuu bajeti yangu ndo hiyo nahitaji smartphone nzuri yenye kukaa na chaji yenye urefu wa kioo kuanzia inchi 4.5 na ram 1gb, lakini isiwe kampuni ya Tecno, na Huawei, kama serious seller tuwasiliane kupitia namba +13234256614

Lete nikupe Tablet ya "Target", Imetumika mwezi. Unapewa na Cover lake, Bluetooth ya Apple na Charger.
 
Utapata simu nzuri tu kwa hiyo bei ... Warranty 12 months !!! Namba yangu 0655 518090
 
Wakuu bajeti yangu ndo hiyo nahitaji smartphone nzuri yenye kukaa na chaji yenye urefu wa kioo kuanzia inchi 4.5 na ram 1gb, lakini isiwe kampuni ya Tecno, na Huawei, kama serious seller tuwasiliane kupitia namba +13234256614

Lete nikupe Tablet ya "Target", Imetumika mwezi. Nakupa na Cover lake, Bluetooth ya Apple na Charger zote. 0789 741582
 
Back
Top Bottom