Nyumba ya kisasa inauzwa

Nyumba ya kisasa inauzwa

mickyMICKIZ

Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
39
Reaction score
3
Nyumba inauzwa maeneo ya Boko. Ni nyumba ya kisasa kabisa yenye eneo kubwa la kupaki hata gari 5, ina fensi nzuri kabisa kama inavyoonekana kwa picha hapo chini. Tuwasiliane kwa namba hii kwa maelekezo Zaidi 0654715457.
 
Picha zipo chini ya wapi au chini simu ngoja niinyanyue
 
mtandao haupo vizuri huku niliko inasoma muda mrefu sana...0654715457 tizama hii namba nikutumie picha whatsapp
 
nimejaribu sna kuweka picha lakini siajafakiwa.
nyumba inauzwa kwa bei ya tsh 180 ml..ni vizuri endapo ukaona picha na kutambua hadhi ya nyumba yenyewe..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom