Nauza kiwanja eneo la Kigamboni

Nauza kiwanja eneo la Kigamboni

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Kipo mpakati mwa cheka na ndege , kinaukubwa sqm 937 , kipo umbari wa 2km toka maji ya bahari na umbali wa 800mita toka barabara ya lami. bei ni 5m. kimepimwa na kipo sehemu ya makazi ,kipo karibu na mradi mkubwa wa magorofa ya akbari , tuwasiliane 0657145555
 
Kipo mpakati mwa cheka na ndege , kinaukubwa sqm 937 , kipo umbari wa 2km toka maji ya bahari na umbali wa 800mita toka barabara ya lami. bei ni 5m. kimepimwa na kipo sehemu ya makazi ,kipo karibu na mradi mkubwa wa magorofa ya akbari , tuwasiliane 0657145555

Umbali from Ferry?
Umeme upo?
 
umbali toka feri ni 23km , umeme upo maji ya kisima yanapatikana mita 45 -60
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom