Habari wana jf,mmi nimtafiti na mwandishi wa vitabu vya ujasiria Mali na inspiration books,je unafahamu kipaji cha mtoto wako?,na je unaamini kipaji cha mtoto wako kinaweza kumsaidia kumpatia...
Natafuta mtu wa kushare naye office...maeneo ya survey ESAP,opposite mlimani city Villa's..kodi ni laki sita including services....kwaiyo tunagawana nusu......anyone interested send me a private sms.
Nyumba 2 za kawaida kwenye kiwanja cha ukubwa wa eneo mraba mita 30 kwa mita 20 INAUZWA TShs. 30m
ILIVYO:
1. Nyumba ya vyumba 3 na sebule
2.Nyumba ya 2 iko nyuma ina vyumba 3 kimoja ni self(choo...
Habari zenu mimi Lukelo Sakafu nimefungua kitengo maalum cha kutoa ushauri nasaha kwa wote wenye matatizo na kuhitaji ushauri yakinifu.
Kama unataka ushauri wa kibiashara,mapenzi na ndoa,kazi /...
Habari wakuu...nina samsung galaxy s5 genuine.
Ipo in very good condition..imetumika for 1 month..haina tatizo lolote..nakupa na all its accessories.
#kama kuna mtu ana smartphone nzuri yenye...
Habari zenu,
Kama kichwa habari hapo juu,
Nauza ukumbi wa sherehe na shughuli mbalimbali,
Ukumbi huu haujamalizika umefikia kwenye lenta, nilijenga kwa ajili ya wapenda mpira, ukumbi upo kibaha...
Kiwanja kizuri kinauzwa Kibaha...
Size=20*20
Price=2.5
Kipo jirani na barabara, ni.mwendo wa dk5 kwa miguu!
Miundombinu yote km umeme, maji, barabara vipo
Eneo kimejengeka sana!
Muuzaji ni jamaa...
Nauza simu samsung galaxy S3 black used with fully accesories.
Price 330,000/=
Nipo dsm,pm for business
BASIC SPECIFICATION
OS- Android 4.3 jelly bean
Display-4.8" super Amoled
CPU-Quad-core 1.4...
Tumeingiza mzigo mpya wa matrailer, matrailer mapya kabisa aina ya Nursan na Serin. Ubora wa matrailer haya unaweza kupakia container za futi 20 mbili kwa pamoja na futi 40 moja.
Breki zake...
Mambo vipi wadau.
Nnatafuta laptop, Iwe:
-na uwezo wa touch
-4gb ram au zaidi.
-500gb hdd iwe core i5 au zaid
-nyembamba
-na uwezo wa kukaa na chaji masaa 2 au zaidi.
Kama unayo nicheki pm...
Wale wanaomiliki hotel sasa nawasogezea huduma nzuri ya kupata nyanya, vitunguu, carrot na hoho vikiwa ni fresh kutoka shamba. Nakuletea mpaka eneo ulipo bila kucharge gharama ya usafiri.
Nyanya...
Wadau kuna mti mkubwa sana aina ya keleptas unauzwa maeneo ya sanawari bei utaongea na mzee ukifika. Ni mti unaoweza kutoa mbao nyingi sana za milango na furniture zingine za ndani. Kwa maelezo...
Hello Bandugu,
Week moja iliyopita nilitoa tangazo la kutafuta MacBook Pro, lakini ni mtu mmoja tu alienitafuta na bei yake ilionekana kuwa kubwa sana. Hivyo nimebadili sasa nataka Acer Aspire...
Habari!
Natafuta gari ya kununua ya aina tajwa hapo juu bei tutazungumza.
Niko Mwanza hivyo Walioko Mwanza na maeneo jirani watapewa kipaumbele.
Angalizo; Gari iwe katika ubora na uzima wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.