Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Model Huawei Y530 Rangi ni nyeupe. Ipo na charger yake in verry good condition Nipo Mikocheni Bei 150,000 kwa kuona picha nichek whatsapp 0715553166. sms zote zitajibiwa ghfsk
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa, kipo moshi eneo la shan town. Kina hati, ukubwa ni square metre 2888. Mawasiliano: 0174809420
0 Reactions
4 Replies
2K Views
For sale inauzws Huawei ascend y330 ni used imetumika wiki 2 tu UK. ni kama mpya haina michubuko ni simu na chaji tu bei Lakini moja 100.000tshs niko posta Dar. Nipigie 0672156295 Ahsante.
0 Reactions
1 Replies
911 Views
LG G2. 450,000/= Call 0712 198 128. Inakuja na free bumper back cover.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mwenye kufahamu ni duka gni naweza kuipata hii simu hapa Dar? Kama kuna anayejua bei pia nitashukuru nikijuzwa.
0 Reactions
0 Replies
761 Views
wakuu kama heading inavyojieleza mwenye nacho anaweza kuni pm tufanye biashara.
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Ipo kwenye hali nzuri kwa Tsh 120,000 piga 0718096900
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Wakubwa shkamoon wadogo poa... Mimi kwa sasa nimepanga maeneo ambayo kwa kweli sipapendi kwani kwanza nlipangia shida sasa nataka kuhama nihamie maeneo kama ubungo au tabata.... Kwa anaejua eneo...
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Natafuta playstation 3 yenye kila kitu chake
0 Reactions
1 Replies
621 Views
Deleted
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mi ni mtumishi niko mikoani nahitaji gari aina RAV4. Ninamaanisha jamani mwanaJF. Aliyenayo au mwenye taarifa anijuze tufanye biashara. Miaka isiwe chini ya 2005.
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa futi 50 kwa 40 kipo Msongola inauzwa kwa bei poa ya 2.2 million tu,Inauzwa bei rahisi kwa sb mwenyewe amepata matatizo.Kipo Msongola Ilala barabarani kabisa. CONTACT...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani natafuta kioo cha iphone 4, kiwe kipya au used ningependa uweke na bei yako kabsaa, au hata mwenye kua nayo yenye apple id lakini kioo kiwe kizima . Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello rafiki na jamaa na wandugu woote leo nawaletea product ya kiasili kabisaa kwa wanaume ambao ama wamekumbwa na tatizo la nguvu za kiume (Erectile Dysfunction) au wameshindwa kutungisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ipo ktk hari nzuri sana , inapatikana Dar es salaam, Toyota Hilux 3.0 Diesel bei Tsh. 48m tuwasiliane 0657145555.
0 Reactions
0 Replies
820 Views
LIPO KATIKA ENEO ZURI , KARIBU NA BARABARA GARI INAFIKA BILA SHIDA YOYOTE , ANATAKIWA MNUNUZI ILIYE NA UWEZO WA KUNUNUA SHAMBA LOTE YAANI HEKARI 16 KWA 40,000,000/= MAWASILIANO 0657145555...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni Techno H6 kwa shililng 170k, Techno P5 kwa sh 140k na Huawei Y530 kwa sh 170k. Mzigo ni mpya kwenye box lake na simu ni chache. Kwa mawasiliano zaidi cheki PM, napatikana ubungo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
naulizoa bei ya multimeter inayopima mpaka frequency kwa mlipo dar ebu nijuzeni bei kama unayopia naweza kuinunua kama ina hali nzuri
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina milioni moja kama unacho kuanzia Kigogo Fresh hadi Chanika. whatsapp +258866131115
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom