Ninatoa ushauri nasaha kwa wenye matatizo

Ninatoa ushauri nasaha kwa wenye matatizo

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Habari zenu mimi Lukelo Sakafu nimefungua kitengo maalum cha kutoa ushauri nasaha kwa wote wenye matatizo na kuhitaji ushauri yakinifu.

Kama unataka ushauri wa kibiashara,mapenzi na ndoa,kazi / ajira,elimu tafadhari nitafute.

Napatikana mavuno house karibu na mnara wa askari posta Dar Es Salaam.

Mwenye maoni na mawazo yakinifu namkaribisha hapa.
 
uahahahaaa milembe trip still loading.....
 
Back
Top Bottom