lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Habari zenu mimi Lukelo Sakafu nimefungua kitengo maalum cha kutoa ushauri nasaha kwa wote wenye matatizo na kuhitaji ushauri yakinifu.
Kama unataka ushauri wa kibiashara,mapenzi na ndoa,kazi / ajira,elimu tafadhari nitafute.
Napatikana mavuno house karibu na mnara wa askari posta Dar Es Salaam.
Mwenye maoni na mawazo yakinifu namkaribisha hapa.
Kama unataka ushauri wa kibiashara,mapenzi na ndoa,kazi / ajira,elimu tafadhari nitafute.
Napatikana mavuno house karibu na mnara wa askari posta Dar Es Salaam.
Mwenye maoni na mawazo yakinifu namkaribisha hapa.