Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Waungwana kama kunamtu anauza laptop pls nicheki kwa 0715941617
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nahitaji used mkonono m npo arusha
0 Reactions
4 Replies
880 Views
Bei maelewano npo arusha
0 Reactions
0 Replies
568 Views
Inapatikana Blackberry 9320 kwa bei nafuu kabisa ya shilingi 90,000/=. Nipo Dar es Salaam, simu no. 0717 441184 / 0757 393623
1 Reactions
0 Replies
714 Views
Nahitaji generator used la KVA 25 bajeti yangu milion 3.5 liwe linafanya kazi mwenyenalo ani PM
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Used lumia 1320 kwa 450k Used S5 zoom kwa 500k New nokia 311 kwa 120k Note:simu zimetumika kwa mda mfupi zipo kwenye clear condition nicheki whatsapp kwa mapicha namba 0718 097972 napatikana dar
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Tunatafuta agents / resellers watakaotusaidia kuuza programu zetu (Bluelight Inventory na APOTEk Pharmacy Management System) katika mikoa yote ya Tanzania. Bluelight Inventory ni programu ya...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Natafuta dalali kama kichwa kinavyoonyesha ambaye yupo mkoa wa dodoma. Tafadhari ni pm.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Je una biashara au kampuni na unataka kutangaziwa bure kabisa kwenye tovuti ya kibiashara iliyosambaa Africa Mashariki. Basi wasiliana nami(0719215909) kwa maelezo zaidi na jinsi...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Epuka gharama za kununua mziki mpya just for Bluetooth Playback Feature. Hii dongle inawezesha kifaa chochote kigeuka WIRELESS PLAYBACK DEVICE.So kama ni LAPTOP, SIMU AU IPOD etc inakuwa...
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Habari wandugu? natafuta chumba cha kupanga maeneo ya ubungo external, riverside au mabibo hostel. Chumba kiwe ndani ya geti, kiwe na maji na umeme na kisiwe mbali na kituo cha daladala. Mwenye...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
make................. Toyota model............... Brevis year ................ 2005 displacement........... 2500 cc mileage............... 75,300 gear shifting......... Auto...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Dear Friends in Arusha Jinsi kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji mkubwa kwa muda wako wa ziada. Tar 1. Mei Mosi, tunawakaribisha kwenye oriflame mega event itakayofanyika New Safari Hotel...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Oriflame is booming in Tanzania. Are you in Arusha or Dar es salaam??? Use your mei mosi wisely. Learn something new. Its only Tsh 5,000 Let's share the experience on building a solid business...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Kama humu ndani kuna mafundi, naombeni mje PM mnipe bei zenu za kujenga nyumba; yaani kuanzia msingi hadi renta (invitation for bid). Nataka kujenga ya vyumba 5, kubwa ya kisasa. Karibuni sana.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Nauza gari aina ni aud ya mwaka 2003 bei ni sh 13 milion tu.. Mtandao uko chini sana nimeshindwa upload picha tuwasiliane 0654715457 nikutumie picha na nikupatie full specfcation za gari yangu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Tafadhali yeyote anayehitaji kuuza! Na kilicho ktk hali nzuri na kinafanya kazi,pia kiwe hakija wahi kupelekwa kwa fundi! Bei tsh 55,000/ ! Niachie kwani nami nianzie maisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
brand new from germany only for 120000
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Nauza computer ni accer, Processor. Intel R cpu. TI600 @ 1.66 GHz Ram 2.00 GB HHD 240 GB Window 7 proffesional inatumia Wireless yes Bluetooth yes Web camera yes Dvd writer yes...
0 Reactions
2 Replies
755 Views
Back
Top Bottom