Noriega Jr
Senior Member
- Apr 12, 2014
- 168
- 59
Habari zenu,
Kama kichwa habari hapo juu,
Nauza ukumbi wa sherehe na shughuli mbalimbali,
Ukumbi huu haujamalizika umefikia kwenye lenta, nilijenga kwa ajili ya wapenda mpira, ukumbi upo kibaha una uwezo wa kuchukua watu 450 mpaka 500 waliokaa, una nyumba ya kuishi chumba na seble yake, una vyoo vitano,
Ndani una sehemu ya duka na control room,
Una vifaa vya ndani
Video projector 2
Epson s118
Sony,zote ni full HD
Na screen projector za ukubwa wa mita 2 picha,
Na cable zake za HD 20 meters
Na Av cable 20 meters, kuna generator
Kuna Dstv ikiwa na extra views
Azam tv pia,
Nilijenga kwa ajili ya target mpira,
Nimeshindwa kuendeleza kwa sababu naishi nje ya nchi nimeshindwa kusimamia kwa ufanisi, bei m17 maongezi yapo
Maelezo zaidi anaehitaji anicheki hapa pm au email,iskhazrahbi@yahoo.com au contact +96895569080 hiyo pia kwa whatsaap,
Kama kichwa habari hapo juu,
Nauza ukumbi wa sherehe na shughuli mbalimbali,
Ukumbi huu haujamalizika umefikia kwenye lenta, nilijenga kwa ajili ya wapenda mpira, ukumbi upo kibaha una uwezo wa kuchukua watu 450 mpaka 500 waliokaa, una nyumba ya kuishi chumba na seble yake, una vyoo vitano,
Ndani una sehemu ya duka na control room,
Una vifaa vya ndani
Video projector 2
Epson s118
Sony,zote ni full HD
Na screen projector za ukubwa wa mita 2 picha,
Na cable zake za HD 20 meters
Na Av cable 20 meters, kuna generator
Kuna Dstv ikiwa na extra views
Azam tv pia,
Nilijenga kwa ajili ya target mpira,
Nimeshindwa kuendeleza kwa sababu naishi nje ya nchi nimeshindwa kusimamia kwa ufanisi, bei m17 maongezi yapo
Maelezo zaidi anaehitaji anicheki hapa pm au email,iskhazrahbi@yahoo.com au contact +96895569080 hiyo pia kwa whatsaap,