Wadau mliopo Arusha maeneo ya Sanawari kwa wale mnaojenga au mnaofanya biashara ya kuuza mbao kuna mti aina ya keleptas unauzwa ni mkubwa mno na umekomaa ni mti mkubwa umeangushwa haujakatwa katwa bado hivyo unaweza kukata kwa size unayoitaka. Unaweza pia kutoa mbao nyingi sana za milango, frem, na furniture zote utakavyoona wewe mwenyewe. Bei yake ni shilingi milioni mbili na laki mbili (2,200,000/=) ila inaweza pungua kidogo sana manake ni mti mkubwa mno.
Kwa maelezo zaidi piga namba 0787 356200