Huduma bora kwa wamiliki wa hoteli, migahawa

Huduma bora kwa wamiliki wa hoteli, migahawa

kidadaa

Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
80
Reaction score
50
Wale wanaomiliki hotel sasa nawasogezea huduma nzuri ya kupata nyanya, vitunguu, carrot na hoho vikiwa ni fresh kutoka shamba. Nakuletea mpaka eneo ulipo bila kucharge gharama ya usafiri.

Nyanya hizo wapendwa fresh from shambani sado sh 5000 tu.
Kuna carrot kg 1 sh 3000
Hoho kg 1 sh 3000
Vitunguu maji kg 1 sh 2500
Nyanya chungu fungu sh 500 tu

Free delivery kwa wakazi wa Dar.
Karibuni 0716084733
 

Attachments

  • 1430374198599.jpg
    1430374198599.jpg
    101.9 KB · Views: 82
Back
Top Bottom