Kuna eneo la hekari nne lipo Mchikichini jirani na mwembe mdogo njia ya kwenda Kimbiji.
Ni kilometer kama 17 kutokea kigamboni na kilometer kama 1.5 kutoka katika magorofa yanayojengwa na NSSF...
Wakuu godoro jipya kabisa naliuza nililinunua miezi michache iliopita
Halijawahi kutumika lipo kwenye nailo yake
Ni la futi 6 kwa 4
Bei 60000/=(chapa QFL Dodoma)
Mi ni mtumishi niko mikoani nahitaji gar aina RAV4. Ninamaanisha jamani mwanaJF. Aliyenayo au mwenye taarifa anijuze tufanye biashara. Make isiwe chini ya 2005.
Kwa mwenye uhitaji wa haraka wa line za tigopesa na m-pesa kwa bei nafuu, anitafute kwa namba
0756967894.
Ukinunua zote ni laki 6 ila ukihitaji line ya mpesa ni laki 2 na ya tigopesa laki 5.
Nauza simu tajwa hapo juu...iko ktk hali nzur kabisa...naiuz kwa 650000 ila bei inashuka pia...napatikana dsm kwa namba 0764503076.
ATTACH]248918[/ATTACH]
Ndugu zangu wana JF,
lile gari escudo, milango mitatu bado linauzwa na mwaka huu bei imezidi kushuka (kwani itabidi ulipie road permit ya miaka miwili (post). Bei sasa ni Tshs milioni 2 na nusu...
Wasalaam wakuu,
Nahitaji tairi ya gari size 14 na sports rim zake.
In exchange nimpe muuzaji zangu nne za size 13 zikiwa na wheel caps niongeze na pesa kidogo.
Kampuni ya Connectmoja Technologies ya Tanzania Inatoa Ofa Maalumu kwa Wamiliki wa Shule, Vyuo na Taasisi za Elimu kuweka Mfumo wa Usimamiaji wa Uendeshaji wa Taasisi hizo yaani (School Management...
Nauza samsung s3, imetumika mwez 1, ni nyeupe na haina tatzo lolote, ram 16 gb, net ni 4g, bei 280,000/= nicheki 0714495367 niko dar, sababu za kuuza, nina simu nyingine nimeletewa
mini mac iyo inauzwa, and those are the specś
2.4GHz Intel Core 2 Duo Processor
4 GB of 1066MHz DDR3 memory
Dual 320GB 7200-rpm Serial ATA hard Drives
NVIDIA GeForce 320M Graphics
Mac...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.