Wadau pita hapa tafadhali

Wadau pita hapa tafadhali

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
Wakubwa shkamoon wadogo poa...
Mimi kwa sasa nimepanga maeneo ambayo kwa kweli sipapendi kwani kwanza nlipangia shida sasa nataka kuhama nihamie maeneo kama ubungo au tabata....
Kwa anaejua eneo lenye chumba kizuri kwa bei nzuri anitafute PM
 
Back
Top Bottom