KIWANJA NI MITA ZA MRABA 800 (40Mita*20Mita), [VIWANJA VIWILI VYA 20M*20M]
BARABARA YA GARI IPO HADI KWENYE KIWANJA.
UMEME UPO JIRANI HAUTAJI NGUZO.
BEI: KIWANJA KIMOJA (20M*20) MILIONI 8...
Wakuu, heri ya Eid MUBARAQ
Nahitaji sana viatu aina ya Travolta(Men`s heels shoes) ziwe Min au Elevated, kamaunafahamu duka linalouza viatu hivi nijuze au kama wewe ndo Muuzaji tuwasilianehapa...
Habari zenu wadau..
Naomba msaada kwa ambae anaweza kunisaidia niweze kupata nyumba ya kupanga.. nimepata kazi moja hivi na nikapangiwa huku kutokea Dar es Salaam.
Vigezo..
Bed Room 2 na sitting...
Habarini ndugu wote humu, natafuta Mwalimu mzuri wa kutoa elimu ya ujasiriamali kwenye kikundi cha Familia.
Sifa:
Awe na uwezo mkubwa wa kufundisha ili kuwafungua watu waone fursa...
Natafuta kazi ya ukondakita. Kwa hapa dar es salaam.......mie muaminifu na mcahapakazi kwa mawasiliano zaid kama unayo gari nishutue email au kwa kukoment .....mymkee@gmail.com
kama heading inavyojieleza inahitajika HTC desire 816 haraka iwe katika hali nzuri na zaidi iwe inadumu na chaji hata siku moja bila kuchaji. hata kwa mwenye HTC desire 500 tunaweza ongea...
Habari wadau
Nahitaji kununua pikipiki aina ya Fekon, au SUNlg, kinglion kati ya hizo kama itapatikana mojawapo
offer yangu ni sh800,000/= tu iwe katika hali nzuri isiwe imeshatumika muda mrefu...
Habari waungwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ninahitaji pikipiki fekon, san lg or nyingine yoyote ya aina hiyo!
Sifa ni ubora wa hali ya juu na bajeti itategemea ubora...
Make
Subaru
Model
Forester
Car type
Sedan
Year
2007
Doors
5
Seats
5
Mileage
85,200
Engine size (cc)
2000
Transmission
Automatic
Fuel
Petrol
Color
Silver
Gari hili bado...
Habarini wadau,
Weekend ijayo natarajia kuwa Arusha.Naomba anaefahamu nyumba za wageni za bei nafuu na zaidi sana zenye usalama anijuze zilipo.
Nawasilisha.:typing:
actually ni kama siku tatu tu sijawahi fika kabisa nahitaji kwenda baada ya ramadhani na sikukuu kwa ujumla
hotel nzuri ipi ambayo naweza fanya booking online kama hakuna uhitaj wa booking...
Sasa udongo wetu Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Dodoma. Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote na moja ya matumizi ni kama liwa lakini una ubora zaidi ya liwa.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.