husika na mada tajwa hapo juu nahitaji nokia 1280 isiwe na tatizo lolote.Iwe haijatumika xana,isiwe na michubuko.Iwe inakaa na chaji,.MWENYE NAYO ANICHEK
Habari wana biashara wenzangu,
Nauza simu tajwa hapo juu ina GB 64 iko ktk good condition bei ni 520 na ni nyeusi. Napatikana kwa namba 0713806766. nipo Sar. Internet haiko active kwa ku-attach...
Wananchi
Nina viwanja nauza maeneo na Kigamboni karibu na mradi wa Dege na Kivule Gongo la Mboto. Hivi vya Kivule vina hati vya Kigamboni havina hati lakini vishapimwa. Bei maelewano.
Mhitaji...
Salamu humu,
Kiwanja Duluti kinauzwa bei million 5.5 tu ukubwa 18 kwa 14 number 0753186816 Kiwanja kingne kinauzwa 20/20 Maji ya chai imbaseni bei Million 6.5.
Number 0755183032
Karibuni
Karibuni wadau,
Nauza mashine yangu ya kuangua vifaranga vya kuku, bata, bata bukene, bata mzinga, kwale na ndege wengineo wengi tu. Mashine ni Brinsea Incubator (380 Ova Easy). Hii mashine ni...
Nauza simu tajwa hapo juu, ambayo imetumika kwa miezi sita. Ni kama mpya, haina michubuko yoyote na unapata pia betri mbili, charger original, boksi lake na kitabu. Namba yangu ni 0753/0715...
Boxer za ukweli pamba halisi kutoka uturuki zinazoendana na mazingira ya nchi yetu ya joto kwa elfu 7 tu kwa mahitaji ya jumla ni pm, jipatie yako kwa dsm tunakuletea ulipo mzigo.
Nna line mbili za uwakala wa m-pesa na tigo pesa nnauza kwa bei nafuu zaidi
M-pesa 180000
Tigo pesa 250000
Kwa mteja mwenye uwakika wakununua piga 0713 706571
Wadau ninahitaji ngano au shairi iliyovunwa haraka iwezekanavyo. Kiwango ni Tani 30 kwa kuanzia.
Iwe ngano au shairi safi na nzuri yenye kukidhi viwango vya kimataifa.
Isiwe imetobolewa na wadudu...
location ipo musoma mjini ,Millage Km 68.5, automatic, right stearing, year 2004, engine 990cc ,
Whatsapp kama unataka picha wakuu kuna error inatokea nikiupload pich karibuni
0762165498...
NYUMBA ina uzwa iko magomen kagela million 200 kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa Whatsapp kupitia namba 065 733 3663.... wasialiana na mm nikupeleke ukaione mwenyewe ...for serious buyer only
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.