Habari wakuu nipo Dar (Kimara) kwa mtu anaekodisha marine board naomba ani-pm
natarajia kumwaga zege kwa ajili ya slab wiki ijayo Mungu akijalia uzima.
Nyumba Inauzwa, magomeni mwembe chai wahi kabla haijanunuliwa
Price: TZS 600,000,000 ( Millioni mia sita ) Negotiable: Yes Nyumba Nzuri sana ina tiles na kila kitu, Ina Vyumba 8, jiko 2, Public...
Pc inauzwa kwa Tsh 370,000\
screet flat dell inch 18
1.99GHZ, 1.96GHZ of processor
2GB OF RAM
500GB
kwa mawasiliano wasiliana nami kwa simu no +255764361843
Ninahitaji samsung Galaxy s3, offer yangu ni tsh Laki mbili..... kwa mwenye nayo anaweza kuwasiliana naami na kunitumia pic za simu yake kwa whatsapp kisha tufanye biashara mapema. isiwe na tatizo...
Kwa anayeelewa ni wapi wanauza magari bora na ya bei nafuu kwa hapa Dar, naomba anielekeze tafadhali, namaanisha show room kubwa sio hao wa magari kumi au matano.
Asanteni..
Ninazo DVD za windows 8.1,Windows 7, Office 2015, Drivers Park, Program nyingi za,aina mbalimbali, bei yake ni Tsh, elfu 10 kwa dvd moja, karibu sana. Napatikana dsm kwa namba hizi, 0655 600 437...
Tuamini kama "IT Department" wako,
Tunahakikisha hungii gharama kubwa kuajiri IT Personal kwa kazi ambazo hazijirudi mara kwa mara, ghara zetu ni nafuu saana, tunafanya kazi popote africa...
Nyumba yenye chumba kimoja na Sebure iwe ni self contained, Maeneo yanayofikika kiurahisi isiwe uswahilini. Mwenye kujua anitumie private mesej au anipe namba. iwe karibu na Mjini maana ofisini...
Kwa anehitaji Kufanya Biashara ya Bucha, naachia bucha maeneo ya kimara mwisho-DAR
-Frem imelipiwa kodi mpaka mwezi 05/2016---- kodi ya miezi 10. Fremu ni kubwaa.
-Mashine ya kukata nyama CAPITAL...
Nauza tecno H6 Bei 140,000 ipo kwenye hali nzuri sana haina mchubuko wowote, na haina tatizo lolote, na bado ina warranty, nipo dar, kama unahitaji nichek kwa 0713415537
nauza tecno p5 imetumika miezi minne,haina tatizo ktk matumizi ila kioo kidogo kimecrack,nakupa memory 4GB nacharger.....npo Arusha nahitaji pesa fasta.....!picha what's up huku nimeshindwa kuatach.
Kwa mahitaji ya jumla ya Mpunga ama Mchele "safi na ulionyooka" na kwa bei nafuu mno.
Sasa unaweza kuwasiliana nasi;
Mihambos Technologies & General Supply Limited
P.o. Box 107 Urambo, Tabora...
KIWANJA KINAUZWA KWA WAKAZI WA ARUSHA
KIWANJA KIPO MAENEO YA KWA LAIZER RELINI
UKUBWA WA KIWANJA NI 15 x 15
KWA MAELEZEZO ZAIDI TUWASILIANE 0718 117 784
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.