Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nauza simu zifuatazo 1.note 2 almost new imetumika wiki 2 price 400000/= 2.huawei y300 used ipo kwnye hal nzuri price 100000/= 3.samsung galaxy mpya full box-250000 maelewano yapo nicheki fasta...
0 Reactions
0 Replies
749 Views
nauza samsung galaxy s2 original..full boxed unapewa chaja,headphones price-250000 maelewano yapo..nichek fasta imebaki moja no 0659116111
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Vina ukubwa wa square meter 440 kila kimoja, vinapakana. Vipo karibu na barabara kuu ambayo inaunganisha mbezi beach na mbezi kimara kupitia goba. Umbali ni dakika 5 kwa kutumia gari. Umeme upo na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kiwanja kipo Tegeta A 20*19 Sh. Million 6. Maeneo ya tegeta A, Shule ya msingi kuna njia ya umme na barabara mpaka kwenye kiwanja. Mazunguzo yapo, Piga 0717751644.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza Samsung note ii nimetumia kwa wiki tatu tu tangu nimenunua it's almost mpya Nauza kwa bei Ya laki tatu na nusu tu Kwa mawasiliano unaweza kunicheck kwa namba 0686 274501
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta msaada wa kumpata mtaalamu wa kuchora ramani ya nyumba ya kisasa, nipo dar salam nahitaji msaaada wa mtaalam wa kuchora ramani za nyumba za kisasa wasiliana nami kwa kuni PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye sqm kuanzia 9000 tuwasiliane,eneo liwe jirani na barabara kuanzia Kimara hadi Mlandizi,umbali mwisho 1km,pia kwa Bagamoyo road kama lipo tuwasiliane,barabara na umeme vyote vipatikane hadi...
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Mwenye sqm kuanzia 9000 tuwasiliane,eneo liwe jirani na barabara kuanzia Kimara hadi Mlandizi,umbali mwisho 1km,pia kwa Bagamoyo road kama lipo tuwasiliane,barabara na umeme vyote vipatikane hadi...
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Kipo Kibaha kwa Mathias 30 kwa 30m,bei mil 6 Mawasiliano zaidi. 0712584524
0 Reactions
6 Replies
3K Views
nipo dar yako katika hali nzuri 0712505049 taili moja 30 tu kuna uhitaji was haraka
0 Reactions
0 Replies
847 Views
nip dar being zangu no nafuu sana 0682711211
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habar hum mwenye nokia tajwa anichek awe ametumia kidogo au hata kama haijatumika isiwe na michubuko na isiwe na tatizo lolote. Ahsanten!
0 Reactions
3 Replies
759 Views
Wadau naomben msaada kwa mwalimu au mwanafunzi wa shule ya sekondari Nkasi iliyopo Rukwa, Wilaya ya Nkasi contact 0716218724
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza natafuta nokia obama iwe imetumika kidogo au hata kama haijatumika wala isiwe na mikwaruzo sana na iwe haina tatizo lolote. Mwenye nayo anicheki
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tunasupply vifaa vyote vya ofisini Tunakodisha magari kwa ajili ya harusi. Tunasupply vifaa vya majumbani kama fagio, mchele, unga, nyanya nk Tunafanya usafi majumbani na maofisi. Gharama zetu ni...
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Gutter ni moja ya sehemu ya nyumba ambayo ikifungwa vibaya huharibu mfumo mzima wa roof. Smartfundi tunao mafundi waliobobea na wenye mafunzo na uzoefu mkubwa katika ufungaji wa Gutter...
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Habari zeu waungwana Lengo na Dhumuni ni kuwatangazi kua tumefungua Kampuni yetu ambayo kwa jina linaitwa Jad Hotel Supplies Kampuni yetu ina uzowefu wa Kusaply vitu vyote ikiwa vya mahoteli au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nyumba mbili tofauti zinauzwa Toangoma 1) moja ina chumba kimoja cha kawaida, cha pili master room, sebule, jiko na vyoo viwili vya public kimoja cha chandi na cha pili cha nje ya nyumba. ina...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
iwe original good condition na isiwe na tatizo nicheki 0688206680 fasta inahitajika
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KIWANJA NI MITA ZA MRABA 800 (40Mita*20Mita), [VIWANJA VIWILI VYA 20M*20M] BARABARA YA GARI IPO HADI KWENYE KIWANJA. UMEME UPO JIRANI HAUTAJI NGUZO. BEI: KIWANJA KIMOJA (20M*20) MILIONI 7...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom