Wale wenye king'amuzi kipya cha startime msaada tutani

Wale wenye king'amuzi kipya cha startime msaada tutani

Deeboyfrexh

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
3,422
Reaction score
5,595
Habari wakuu,

Eh bhana jana nlikuwa maeneo flani ya migomigo nikaona wale mawakala wa startimes wakiwa kwenye fuso wanapromote king'amuzi chao kipya kwa stunt ya "BUNDESLIGA".

Mmoja wao alikuja nacho nikawa namuhoji kwa maswali kadhaa akafikia kuniambia bei yake ni 34,000/= na kina support t.v, mbili, kina offer ya miezi 7 na vitu kama hivyo.

Sasa kiu yangu kubwa ni kutaka kujua kama je zile local channels zitakuwepo baada ya hio offer kuisha au nitalazimika kuanza kuzilipia tena kila mwezi?

Niko na hela mkononi nataka nikakitafute ila naomba mnijuze kwa wale wenye taarifa juu ya local channels.

Mwenye no. ya customer care wa startimes pia aiweke itakuwa msaada zaidi.
 
mkuu si ungemuuliza huyo dada wa startimes, nadhani walikuwa na vipeperushi pia
 
nilikuwa kwenye movement mkuu njiwa,halafu kibaya sikuwa na cash mfukoni so nikaona gozi gozi
 
Last edited by a moderator:
baada ya miezi sita itabidi uwe unazilipia hautaangalia bure tena
 
Mi ninacho hko hakina cha free wala nn
Usipolipia kila mwezi hata za bure huoni
in short kama unataka cha channel za bure ni bora ununue cha 59,000/=
Offer inaexpire unapojiunga na kifurushi chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom