Nauza kamera aina ya sony ni digital ,ni nzuri kwa shughuli za kikazi na nyumbani.ni sony cyber-shot mega pixels 14.1,, optical steady shot dsc-w350... Tatizo lake ni betri haikai na chaji.... Bei...
Habari wakuu,
Nahitaji Akaunti za facebook ambazo sio mpya, yani zenye miezi kama 3 mpaka 6 na isiyokuwa na marafiki wengi, natumia kwa ajili ya kushare habari kwenye magroup ya nje. Akaunti...
KOMPYUTA NI NZURI KWA MATUMIZI YA MASOMO NA OFISINI,, SIFA ZA KOMPYUTA NI HIZI;;-- HP Parilion Ze2000 ,, Processor Type ; Intel(R) Celeron(R) ,, Speed; 1.30GHZ ,, System Memory; 480mb.. Tatizo...
Salaam,Cautious Concepts Limited Company inahusika na maswala ya graphics design na printing, kwa sasa wanasajili graphics designers kwenye system yao ambayo ipo online, kwenye system hiyo wateja...
Habarini wadau, husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Ninahitaji la simu ya iphone 6 kwa mwenye nayo.
Iiwe katika hali nzuri na accessories zote ziwepo. Bajet yangu inaanzia laki nane ila...
Eneo la ekari tano linauzwa lipo igawilo mkoani mbeya karibu sana na hospital ya igawilo pia karibu na secondary ya igawilo.linafaa kwa mambo yafuatayo:- Kilimo.maana lipo karibu sana na mto...
Wakuu,
Kama kuna mtu ana marine board zilizotumika mara 1 na bado zipo kwenye hali nzuri, anipm tuongee biashara.
Vile vile kama kuna mtu anamirunda pia ninazitafuta.
Escudo ipo ktk hali nzuri inauzwa kwa bei chee!! 7M
Make: Suzuki
Model:Escudo
Body type: Station Wagon
Year of Manufacture:1996
Engine capacity: 1.5l petrol
Transmission: Manual & 4WD
Imported...
shamba linauzwa:
eneo: kigamboni ( yale yale )
ukubwa: heka 3
shamba lipo mita kadhaa kutoka barabarani, umeme na maji yamefika katika eneo hilo.
bei: 11mil kwa heka 1
heka 3 =...
Ndugu wana JF. Nauza asali ya nyuki wakubwa haijachanganywa na kitu chochote ila bado soko ndo linasumbua. Lita moja nauza sh10000. Kwa jumla dumu la lita ishirini nauza sh 160000. Nipo sinza...
shamba linauzwa:
eneo: kigamboni ( yale yale )
ukubwa: heka 3
shamba lipo mita kadhaa kutoka barabarani, umeme na maji yamefika katika eneo hilo.
bei: 11mil kwa heka 1
heka 3 =...
Nina kambale wenye umri wa miez minne na Nusu, waliofikia uzito wa kilo moja kila mmoja. Bei ni shilingi 6000/=
Nipo Tabata Kimanga Mwisho,kwa mawasiliano zaidi piga namba za simu zifuatazo...
Hivi ni vinu vya kufua umeme, vinapatikana nchi zilizo endelea, nazani kwa wale wenye kuishi katika vyanzo vya maji yenye mtetemko, uwezo wa kupata umeme upo. Usisubiri Tanesco ikuletee umeme ...
Wadau habari zenu?
Kuna jengo linapangishwa ni floor nzima ya tatu,maeneo ya Philips Arusha.
Kama unahitaji,tafadhali PM kwa ajili ya kuona na kupata bei.
NB: Inapangishwa floor nzima na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.