Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Laptop aina ya HP PROBOOK 4440s ram 4 gb, hhd 350 gb imetumika miez miwili ina wndow 8.1 , simu n Nokia symbian N 500 whatsapp,office vimo. 0676 057 011
0 Reactions
3 Replies
881 Views
32" SONY BRAVIA TV FOR SALE - 550,000/= (Negotiable) Full HD 1080 BRAVIA Engine™ 2 BRAVIA Sync 24P True Cinema Intelligent Picture New S-Force Front Surround Dynamic/MPEG Noise Reduction...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau? Natafuta mwenye Ipsum, spacio, IST au rav4 yenye AC kwajili ya kukodisha.
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Nafunga biashara, vitabu kuanzia chekechea mpaka chuo. 0715266129.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana JF, Natafuta chumba cha kupanga kiwe self contained maeneo ya karibu na Muhimbili, au Jangwani. Kama una pango naomba unipigie katika number hii 0765090398. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iko vzur imetumika miezi mitatu tu! Na haina tayo lolote so kama Iko interested unakaribishwa. Call, text or whatsapp 0713943432 Bei tsh 55000 tu Npo dar
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Wadau tunakaribisha wawekezaji katika kampuni yetu kwa kuwekeza mtaji .tuna tenda ya kusambaza vifaa vya miradi ya maji,tends ni ya mil 175 lakini tunaruhusiwa kuwasilisha kwa awamu.tenda ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba mtu anayefahamu zinapouzwa laptop nzuri imara anielekeze nitapata wapi? Na bei isifike laki 7 asante
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji simu tajwa, bajeti yangu 300k!!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, nafanya biashara ya kuuza mkaa kwa bei ya jumla nawakalibisha sana bei ni nzuri napatikana geita
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya jamani mnishike mkono kijana wenu au kijana mwenzenu kwa kununua mkaa wangu. Pia asanteni kwa wale wote mliojitokeza Tandika soko la Sterio kununua Matikiti yangu maana nyie ndio mlionifanya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Je unahitaji usafi wa nyumba yako?, Ofisi yako? Emci Cleaning services ipo kwa ajili yako. Tuite tukufanyie usafi kwa gharama nafuu kabisa. Tunasafisha masofa yote ya kitambaa na ya ngozi kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Toyota Nadia inauzwa Namba A Rangi Nyekundu Cc 1998 Aina ya Engine 3S Bei 4.8 Inatembea iko barabarani Kwa maelezo ni PM
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Kama kichwa kinavyosema natafuta memory card. Mwenye kujua zinapouzwa kwa bei iliyo nafuu nitashukuru.
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Nokia xl inauzwa , bei ni tsh 250,000/=
0 Reactions
0 Replies
699 Views
cpu inauzwa 1gb ram....160gb haddisc......core2duo dell aina shd yoyote 0713844841 4pic whatsup
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Kama una simu tajwa hapo juu au ya kufanana iwe na laini 2 kioo cha kuanzia 4inch nicheki uniuzie namba yangu ni 0712731473
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Smart phone. Available TECNO Winpad10 Call/WhatsApp 0652735050
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau nauza canter Tani moja na nusu kwa bei chee sana, imetembea kilometer 46,000 tu! na namba ni CRN ina muda mchache sana tokea ifike tanzania na imetumika muda mchache sana. Ina ki kitu na AC...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Mitsubishi canter used abroad - imported TSH 32,000,000/= ; price include tax and registration infos Engine capacity - 5200cc ; transmission- manual 4wheel drive...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom