Floor ya tatu inapangishwa, Philips Arusha

Floor ya tatu inapangishwa, Philips Arusha

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,521
Reaction score
13,999
Wadau habari zenu?

Kuna jengo linapangishwa ni floor nzima ya tatu,maeneo ya Philips Arusha.

Kama unahitaji,tafadhali PM kwa ajili ya kuona na kupata bei.

NB: Inapangishwa floor nzima na sio partition/sehemu ni nzuri kwa ofisi,bar nk.

Asanteni.
 
Weka na bei. Bar zimekuwa nyingi na wanyaji hamna. Hah hah
 
Pale Philips ukifungua bar, bia utazinywa mwenyewe! Pako scattered sana.
 
Wadau habari zenu?

Kuna jengo linapangishwa ni floor nzima ya tatu,maeneo ya Philips Arusha.

Kama unahitaji,tafadhali PM kwa ajili ya kuona na kupata bei.

NB: Inapangishwa floor nzima na sio partition/sehemu ni nzuri kwa ofisi,bar nk.

Asanteni.

Bar floor ya 3?mlevi gani atapanda huko?
 
Pole yako,wewe unajua mlevi mpaka ashindwe kutembea? Hujatembea,nenda level eight iliyokuwa Kilimanjaro Kempinski.
Upstairs bar zipo nyingi sana bongo hata nje ya bongo.

Ficha ushamba wako.

Bar floor ya 3?mlevi gani atapanda huko?
 
Pole yako,wewe unajua mlevi mpaka ashindwe kutembea? Hujatembea,nenda level eight iliyokuwa Kilimanjaro Kempinski.
Upstairs bar zipo nyingi sana bongo hata nje ya bongo.

Ficha ushamba wako.

Kilimanjaro kempinski unalinganisha na uswaz philips?kama ukinisha Philips sio uswazi wewe ndio utakua mshamba.
Hizo sehemu unazozitaja ni exclusive for the elite halafu unaweka bar ghorofan Philips uswazi.
 
Kwani wanaokunywa kwenye bar ya Kilimanjaro Kempinski,wanatoka mbinguni? Any way tangazo linataka mtu wa kupanga floor nzima,na sio mahali gani panafaa kwa bar.

Nimekubali wewe ni mjanja sana kuliko watu wote duniani:

Topic clossed.


Kilimanjaro kempinski unalinganisha na uswaz philips?kama ukinisha Philips sio uswazi wewe ndio utakua mshamba.
Hizo sehemu unazozitaja ni exclusive for the elite halafu unaweka bar ghorofan Philips uswazi.
 
Back
Top Bottom