Nauza kambale, kilo shilling 6000/=

Nauza kambale, kilo shilling 6000/=

little hulk

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
1,610
Reaction score
558
Nina kambale wenye umri wa miez minne na Nusu, waliofikia uzito wa kilo moja kila mmoja. Bei ni shilingi 6000/=
Nipo Tabata Kimanga Mwisho,kwa mawasiliano zaidi piga namba za simu zifuatazo:

0688 927052

0654 403458

ASANTENI
 
du haya ila mimi huyo hapana...anafanana na joka!!ila kila la heri kaka
 
Nina kambale wenye umri wa miez minne na Nusu, waliofikia uzito wa kilo moja kila mmoja. Bei ni shilingi 6000/=
Nipo Tabata Kimanga Mwisho,kwa mawasiliano zaidi piga namba za simu zifuatazo:

0688 927052

0654 403458

ASANTENI

hao kambale wabichi o wamekaangwa?
 
watoto au wakubwa naweza pata wa kufuga
 
IMG-20150826-WA0012.jpg huyu alikuwa wa miez miwili .... wa mwez wa nne na nusu ni mkubwa zaid...
 

Attachments

  • IMG-20150826-WA0009.jpg
    IMG-20150826-WA0009.jpg
    75.9 KB · Views: 186
Kwa anayehitaji tufanye biashara ya samaki SATO mm nipo tayar nipo musoma..anitafute kupitia 0717723752 au0765657222
 
Back
Top Bottom