GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,016
Hivi ni vinu vya kufua umeme, vinapatikana nchi zilizo endelea, nazani kwa wale wenye kuishi katika vyanzo vya maji yenye mtetemko, uwezo wa kupata umeme upo. Usisubiri Tanesco ikuletee umeme , uwezo unao tafuta wataalamu kutengezee umeme wa uhakika.