Shamba linauzwa kigamboni

Shamba linauzwa kigamboni

Kiriba

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
540
Reaction score
258
Shamba lenye ukubwa wa hekari 30 linauzwa. Liko 20km kutoka kwenye daraja Jipya la kigamboni, liko mwasonga 3km kutoka barabara kuu.

Bei ni Tzs 10m kwa hekari, lakini mazungumzo yapo. Shamba linafaa kwa viwanda, shule/chuo, makazi, kilimo, n.k.

Wasiliana nami kwa simu 0788 874425.
 
10M kwa hekari kipindi hiki cha uchaguzi ni nyingi sana, hela zimeishia kwenye kampeni.
 
Kipindi hiki ndo watu wana hela.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom