Je ungependa kufaamu mawasiliano ya mpenzi (Mke/Mume), Wafanyakazi wako au Mwanao?
Ungependa kuona SMS zake za kawaida na Watsapp?
Ungependa kuona huwa anampigia nani simu na wanaongea muda...
Nauza shelf za supermarket, nilinunua kwa ajili ya kuanzisha supermarket ila nimebadilisha aina ya biashara.
Mwenye kuhitaji ani PM kwa mawasiliano zaidi.
Nina nyumba ya kupanga..self container IPO SHEKILANGO. nyuma ya club suncirro.
bei ni 350,000 KWA mwezi unalipa KWA miezi 12.
laki NNE KWA miezi sita.
KWA mawasiliano zaidi
0784347425
0754375712
Wakuu
Kama unaweza kuchukua sura yangu na kuiweka kwenye mwili wa mtu mwingine nitafute tufanye biashara.
Olympus na LOGORIDDIM mnaweza hiyo kazi ya photoshop?
Kuna jamaa yangu anauza stroller,ila hajui bei yake maana aliletewa zawadi toka nje ya nchi.
Kama unahitaji toa ofa yako.
Stroller ipo Arusha.
Mwenye bei kubwa ndio atakayechukua mzigo.
Unaweza...
Nyumba mbili zingishwa Mwenge near TRA, opposite magorofa ya Jeshi, moja ipo barabarani na inafaa kwa matumizi ya ofisi pia, kuelekeza mtu sio tabu zote Zina vyumba vitatu na jiko, uzio upo na...
Frem upo hapa opposite na Jeshi ukishuka barabara ya TRA kwenda afrika Sana ukiingia kushoto, sehem imechangamka, Kuna maduka bar, na Kuna hotel kubwa inajengwa, mwanzoni hivyo frem ilikua na...
Nauza kamera aina ya sony ni digital ,ni nzuri kwa shughuli za kikazi na nyumbani.ni sony cyber-shot mega pixels 14.1,, optical steady shot dsc-w350... Tatizo lake ni betri haikai na chaji.... Bei...
Habari wakuu,
Nahitaji Akaunti za facebook ambazo sio mpya, yani zenye miezi kama 3 mpaka 6 na isiyokuwa na marafiki wengi, natumia kwa ajili ya kushare habari kwenye magroup ya nje. Akaunti...
KOMPYUTA NI NZURI KWA MATUMIZI YA MASOMO NA OFISINI,, SIFA ZA KOMPYUTA NI HIZI;;-- HP Parilion Ze2000 ,, Processor Type ; Intel(R) Celeron(R) ,, Speed; 1.30GHZ ,, System Memory; 480mb.. Tatizo...
Salaam,Cautious Concepts Limited Company inahusika na maswala ya graphics design na printing, kwa sasa wanasajili graphics designers kwenye system yao ambayo ipo online, kwenye system hiyo wateja...
Habarini wadau, husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Ninahitaji la simu ya iphone 6 kwa mwenye nayo.
Iiwe katika hali nzuri na accessories zote ziwepo. Bajet yangu inaanzia laki nane ila...
Eneo la ekari tano linauzwa lipo igawilo mkoani mbeya karibu sana na hospital ya igawilo pia karibu na secondary ya igawilo.linafaa kwa mambo yafuatayo:- Kilimo.maana lipo karibu sana na mto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.