Nyumba ya kisasa inapangishwa Lego/Shekilango DSM

Nyumba ya kisasa inapangishwa Lego/Shekilango DSM

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,125
Reaction score
2,449
Nyumba ipo Lego /Shekilango nyuma ya Ubungo Plaza, nyumba ni kubwa ina vyumba vinne(4) kimoja master, jiko na sebule, ipo ndani ya uzio geti lako peke yako, haiingiliani na mtu.. maji 24hrs mpaka mabafuni na mita ya maji yako, bei ni 450,000 kwa mwezi, kwa walio serious tu tuwasiliane kwa 0713415537.
 
Still available
 
Still available

It will be available till the end of time...tatizo lenu madalali mnakamua sana kodi, halafu kodi yq 450000 mnataka mtu alipie kwa mwaka mzima...nonsense:sly:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom